Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Aisee mom was a very beautiful one. She mothered a beautiful murderer. May her soul rest in Eternal Life. Yaani kweli msichana mrembo hivi hutaki kufanya kazi unataka pesa ya mama? She must be on drugs siyo bure kabisa. Yaani Mali zangu nianzishe Charity/Foundation niweke huko. Yaani I struggled heavily, accumulated millions then mtoto anataka tu Bure nimpe. Mimi alinipa Nani pesa? Nilisomeshwa nikasoma na nikasimama. Nikabana matumizi nikawekeza mpaka nikatoka Leo hii naheshimika na taasisi za fedha halafu mtoto ananiletea mkia. Pumbavu.
Kila siku nawatia moyo watafute na ukweli ambaye ndiyo atajitahidi zaidi ndiyo nitamwachia pesa na assets nyingi maana najua huyo ni mpambanaji. Siwezi achia mtu biashara zangu kesho zimekufa.
 
Kweli nimeona mama ni halfcast wa Kizungu. Binti naye mweupe Fulani aliyepitiliza. Hivyo ni points Five. Sema ulitaka Moshi kila mtu anarukia Wachagga wakati hata Wahindi na Waarabu wapo Moshi. Na Halfcast waliotokana na Yale mashamba ya Kahawa wamejaa Tele.
 
Kama Mali na utajiri wangu nilitafuta mwenyewe basi na watoto hawana budi kutafuta zao. Za kupewa nitaamua mimi na kila mmoja nitampa kulingana na juhudi yake ya kutafuta Mali. No equal share at all.
 
Embu fanya research yako vizuri abused ya tangu utotoni ni zaidi ya hivyo ulivyo conclude.
 
Baba alikua anaitwa Dk pima ebreck shombeshombe huyo,atakua mchaga wa russia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…