Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Aisee mom was a very beautiful one. She mothered a beautiful murderer. May her soul rest in Eternal Life. Yaani kweli msichana mrembo hivi hutaki kufanya kazi unataka pesa ya mama? She must be on drugs siyo bure kabisa. Yaani Mali zangu nianzishe Charity/Foundation niweke huko. Yaani I struggled heavily, accumulated millions then mtoto anataka tu Bure nimpe. Mimi alinipa Nani pesa? Nilisomeshwa nikasoma na nikasimama. Nikabana matumizi nikawekeza mpaka nikatoka Leo hii naheshimika na taasisi za fedha halafu mtoto ananiletea mkia. Pumbavu.
Kila siku nawatia moyo watafute na ukweli ambaye ndiyo atajitahidi zaidi ndiyo nitamwachia pesa na assets nyingi maana najua huyo ni mpambanaji. Siwezi achia mtu biashara zangu kesho zimekufa.
 
Unaijua hiyo familia wapi umesoma kua ni mrema?baba alikua sombe...mama anatoka familia ya mashombe wa kizungu maarufu sana pale moshi kina john bennet...moshi ziko familia nyingi za kigiriki,kama kina taylor huwa wanashiriki mbio za magari,wamelowea moshi ila sio wachaga
Kweli nimeona mama ni halfcast wa Kizungu. Binti naye mweupe Fulani aliyepitiliza. Hivyo ni points Five. Sema ulitaka Moshi kila mtu anarukia Wachagga wakati hata Wahindi na Waarabu wapo Moshi. Na Halfcast waliotokana na Yale mashamba ya Kahawa wamejaa Tele.
 
Kama Mali na utajiri wangu nilitafuta mwenyewe basi na watoto hawana budi kutafuta zao. Za kupewa nitaamua mimi na kila mmoja nitampa kulingana na juhudi yake ya kutafuta Mali. No equal share at all.
 
Kitu kimoja lazima uelewa hawa watu akili zao zipo wired differently.....sio kwamba anatamani kuishi kwenye nyumba ya mzazi wake bali anataka kitumia hiyo kama nyezo ya kutimiza mambo yake mwenyewe.

E u chukulia mtu ambaye ana chuki dhidi ya wanawake but yet anataka mbususu yao. Ni ile feeling ya power.
Mali sii inatumika kwa yeye kukidhi material needs zake.
Embu fanya research yako vizuri abused ya tangu utotoni ni zaidi ya hivyo ulivyo conclude.
 
Wewe ishiatangazwa hii habari kwenye vyombo vikubwa usikalie JF tu...binti anaitwa Wendrick Mrema...mama ndio mixer mixer...kuwa chotara haimaanishi kuwa huwezi kuwa wakabila flani...shinyanga hapo kuna wasukuma waarabu kibao...kyaka kuna waarabu wahaya wakutosha.
Baba alikua anaitwa Dk pima ebreck shombeshombe huyo,atakua mchaga wa russia
 
Back
Top Bottom