MOSHI: Mahakama yaelezwa mtoto anayedaiwa kubakwa na Padri alienda kuungama

MOSHI: Mahakama yaelezwa mtoto anayedaiwa kubakwa na Padri alienda kuungama

Ifike hatua mapadri waruhusiwe kuoa maana hii kiwazenza alitakiwa amfanyie mke wake huko sio mtoto wa watu.
 
Nafikiri ni wakati sasa viongozi wakuu wa kanisa katoliki kutafakari upya juu ya katazo la kuoa kwa mapadri na kuolewa kwa masister
Kuoa au kuolewa ni agizo la mungu na sio dhambi....
Wanajielewa basi yaaani mtu apatikane kwa kuzaliwa halafu hao walipatikana kwa uzao wasiooe wala wasiolewe that's nonsense kweli mzungu kawakamata watu masikio
 
Mshtakiwa katika kesi ya ubakaji namba 45 ya mwaka 2022, Padri wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Deonis Aropagita katika Jimbo la Moshi, Sostenes Bahati Soka, amesomewa maelezo ya awali.

Padri Soka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Moshi, Kilimanjaro leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 na kusomewa maelezo ya awali akituhumiwa kumbaka mtoto wa miaka 12.

Akisomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Salome Mshasha, Wakili wa Serikali Kasimu Nasiri, amedai kuwa mshtakiwa huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Agosti 12, 2022 ambapo wakati wa tukio hilo mtoto huyo alikua akishiriki mafundisho ya kipaimara kanisani hapo.

Amedai kuwa mtoto huyo baada ya kumaliza mafunzo hayo majira ya jioni, alikwenda kwa mshtakiwa kwa nia ya kuungama dhambi zake, alipofika alimkuta mshtakiwa amekaa kwenye kiti na kuanza kupiga magoti na kuungama dhambi zake.

Hata hivyo, mshtakiwa alipotaka kumpa kitubio chake, ndipo alimshika mabega na kumnyanyua kutoka kupiga magoti hadi kusimama kisha akampakata.

Alidai kuwa baada ya kumpakata ndipo alimtomasa sehemu mbalimbali za mwili kisha akampeleka ukutani, akaishusha sketi ya mtoto na kumwambia ashike sketi yake, mtoto akashika na padri huyo akazivua nguo zake za ndani na yeye kuvua kanzu yake na kutoa uume uliokua umesimama na kisha kumuingizia.

Wakili huyo aliendelea kudai kuwa wakati akiendelea na tukio hilo alikuwa akimtomasa tomasa mwilini hadi alipomaliza haja zake ndipo akamruhusu mtoto huyo kuvaa nguo zake na kuondoka.

Amedai kuwa mtoto huyo akiwa anazungumza na wazazi wake nyumbani mazungumzo kati ya mama na mwana, ndipo mtoto alimweleza kuwa Padri huyo amemfanyia vitendo vya kikubwa. Maelezo hayo ya mtoto yalimshtua mama yake ambaye alichukua hatua ya kwenda kutoa ripoti kituo cha polisi na kwamba, ripoti ya uchunguzi ilionyesha mtoto huyo ameingiliwa. Mshitakiwa alipelekwa kwenye gwaride maalumu la utambuzi na akatambulika na hatimaye sheria kuanza kuchukua mkondo wake ikiwemo kufikishwa mahakamani.

Kwa upande wake, mshitakiwa amekana kuwa sio kweli isipokua alitambulika kwenye gwaride maalumu la utambuzi lililofanywa na polisi.

Hata hivyo, Wakili wa utetezi Edwin Silayo ameomba kuahirishwa kwa kesi hiyo kutokana na sababu kuwa leo Jumatatu Oktoba 10, 2022 ndio mara yake ya kwanza kukutana na mteja wake hivyo, kuna nyaraka na maelezo hajapewa.

Hakimu Salome ameahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 12, 2022 ambapo mashahidi wanne watafika kutoa ushahidi.

Chanzo: Mwananchi
Hii hatari sana.
 
Unajuaje hakuwa mgeni? This is really shallow minded opinion
Hata kama alikua mzoefu haijustify padri kumuingilia binti huyo wa 12 years. Hata hao waliomzoesha huyo mtoto ni wabakaji vilevile.

Hata kama mtoto wa miaka 12 amekufuata akakuomba umfanye bado haiondoi ukweli kuwa umebaka.

Kuna comments nyingi za wabakaji katika huu uzi.
 
Miaka 12 kwa mwanaume wa miaka 40 na hata kelele hakupiga.. Akavaa nguo akaenda zake. Yaani huyu mtoto ni mzoefu wa hayo mambo. Haya Padre janga hilo ulilochuma kula na nduguzo
Padr itakuwa alikuwa kibamia
 
Hii kesi nadhani wazazi wana senti watapata haki huku uswazi kuna mtoto kaingiliwa na yeye mwenyewe kakiri jamaa anamkula sio mara moja , hospital vipimo vinaonyesha mtoto hajaingiliwa na polisi wanawatishia wazazi kutoendelea na kesi. Ukiona kesi ya hivii mpk ilipofika jua wazazi wamekomaa hizi kesi ni nyingi mnoo. Za kuharibiwa watoto ukiazia watoto kwa watoto mpk wakubwa kuharibu watoto. Inatisha.
 
Miaka 12 kwa mwanaume wa miaka 40 na hata kelele hakupiga.. Akavaa nguo akaenda zake. Yaani huyu mtoto ni mzoefu wa hayo mambo. Haya Padre hilo janga ulilochuma kula na nduguzo
Inawezekana alimtishia kumuua au alimpa tumaini la uongo la kidini/ kiimani. Mfano anaweza kumwambia ngoja nikufanye hivi ili nikujaze roho wa bwana.

Daaah yapo wapi maadili ya muafrika?
 
Unajuaje hakuwa mgeni? This is really shallow minded opinion
CFFFAC23-F6EB-4981-88D6-FFD242D4A581.png
 
Nafikiri ni wakati sasa viongozi wakuu wa kanisa katoliki kutafakari upya juu ya katazo la kuoa kwa mapadri na kuolewa kwa masister
Kuoa au kuolewa ni agizo la mungu na sio dhambi....
Padri Martin Luther alishindwa akaona asiwe mnafiki akaamua kuoa, mpaka leo KKKT wanaoa
 
Back
Top Bottom