Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na maskini WA Kilimanjaro sio kama maskini WA nachingweaYeap hata ingekuwa 50 kwa mikoa still masikini wapo ..sasa hao 10% usiombe ukawa ni wewe na ukoo wako.
Kama mpo safi hamna neno ila tambua wapo wanatoka huko wengi njaa kali
Ila anakosa pesa ya kwenda hospital I mpaka anakufa..Na maskini WA Kilimanjaro sio kama maskini WA nachingwea
Maskini WA Kilimanjaro halali nyumba ya nyasi Bali ya bati
Laki na maisha ya mtu kipi Bora?
Alikuwa anaugua ugonjwa wa tumbo kuhara na kutapika. Je, hiyo ni stroke?Unajua gharama zakuuguza mtu mwenye stroke mzee baba, usiombe yakukute nakama huna bima ndio utatamani ufe wewe kwanza.
""Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili"". Umeona hayo maneno hapo wakati unasoma story nzima mkuu au tunakimbilia kutoa judgement kwakuwa hayajakukuta. Yasikiage tu!Alikuwa anaugua ugonjwa wa tumbo kuhara na kutapika. Je, hiyo ni stroke?
Hebu soma vizuri utangulizi wake ktk uzi huu.
Daah inasikitisha sana kwa huo ugonjwa angewaji hospital angerudi mzima kabisa apumzike kwa amani dada nawaonea huruma watoto aliowaacha, Upendo wa mama haufanani na mtu yeyote.Marehemu Happiness Kasmiry kutoka kijiji cha Usari, Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.
Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa jina la John Kasmiry alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.
Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.
Marehemu ameacha watoto watatu wadogo.
Mwenyekiti wa kijiji hicho, Ismail Urassa amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake.
Upendo umepoaUmaskini mbaya sana
[emoji26][emoji26][emoji26]
Pole wafiwa
Upendo umepoaLaki na maisha ya mtu kipi Bora?
Huyo jamaa nae mzembe laki yote ya Nini angeomba tu asaidiwe usafiri hata bodaboda na elfu 5 tu ya mapokeziWatu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa