Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Huo ni ujinga kbsa angempeleka tuu hospital angedaiwa matibabu ikaw mgonjw ameshapona

Hao wachaga wawap
 
Yeap hata ingekuwa 50 kwa mikoa still masikini wapo ..sasa hao 10% usiombe ukawa ni wewe na ukoo wako.

Kama mpo safi hamna neno ila tambua wapo wanatoka huko wengi njaa kali
Na maskini WA Kilimanjaro sio kama maskini WA nachingwea
Maskini WA Kilimanjaro halali nyumba ya nyasi Bali ya bati
 
Na maskini WA Kilimanjaro sio kama maskini WA nachingwea
Maskini WA Kilimanjaro halali nyumba ya nyasi Bali ya bati
Ila anakosa pesa ya kwenda hospital I mpaka anakufa..

Basi umaskini wenu wa kukosa pesa za kwenda hospital

Achana na wa juzi huyu ni WA pili👇👇


 
Na sasa Serikali itafurahia watoto wakifa kwa kukosa Matibabu hasa wale ambao Wazazi wao walikuwa Wana uwezo wa kuwalipia Bima ambazo kwa sasa imekuwa kama anasa.
 
Unajua gharama zakuuguza mtu mwenye stroke mzee baba, usiombe yakukute nakama huna bima ndio utatamani ufe wewe kwanza.
Alikuwa anaugua ugonjwa wa tumbo kuhara na kutapika. Je, hiyo ni stroke?
Hebu soma vizuri utangulizi wake ktk uzi huu.
 
Alikuwa anaugua ugonjwa wa tumbo kuhara na kutapika. Je, hiyo ni stroke?
Hebu soma vizuri utangulizi wake ktk uzi huu.
""Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili"". Umeona hayo maneno hapo wakati unasoma story nzima mkuu au tunakimbilia kutoa judgement kwakuwa hayajakukuta. Yasikiage tu!
 
Daah inasikitisha sana kwa huo ugonjwa angewaji hospital angerudi mzima kabisa apumzike kwa amani dada nawaonea huruma watoto aliowaacha, Upendo wa mama haufanani na mtu yeyote.
 
Kwahyo watu wataenda msibn na kutoa mchango wa mazishi lkn si wa matibabu loo tunahitaji kuombewa
 
Kwani si kunakuwaga na watu wa social ambao huwa wanalenga watu walioshindwa kabisa kumudu matibabu, Na je Mtu anaweza kukosa kabisa matibabu hata kama amefikishwa kwenye government health facility kwa kukosa pesa? Mnifahamishe jaman me nipo Afghanistan huku.
 
RIP mama, ila hiyo gharama inayotumika katika mazishi, ingetumika kumtibu angeokoa uhai wake.
 
Watu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa
Huyo jamaa nae mzembe laki yote ya Nini angeomba tu asaidiwe usafiri hata bodaboda na elfu 5 tu ya mapokezi
 
Very sorry ila kwenye msiba ndugu watakuja na magari na ng'ombe wachinjwe

Tubadlke sasa nyakat hizi nikumsaidia mgonjwa si mipeano ya harusi/shughuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…