Moshi: Mfanyabiashara aua kwa bastola Himo

Mtu ana ml 100 tu tena zipo Bank anaenda kunywa pombe na bastola. Hapo ukichunguza wote walikuwa kwenye state ya ulevi wa kupindukia
Ulevi sio kitu kizuri hata kidogo, ndio maana inashauriwa pombe inywewe kwa kiasi
 
Wanasema kwamba kwenye ulimwengu wa crime, bunduki uliyoifanyia uhalifu kwa kukatisha uhai wa mtu hakikisha unaitupa au kuiharibu kwa namna yoyote ile.. sijawahi kufahamu kujua Nini main reason katika hili.. [emoji848]
Aisee
 
Hususan ikiwa umekutwa red handed unatekeleza tukio la kuua kwa silaha kwa mtu ambaye alikuwa ni target , wanasema silaha idondoshe chini hata kama askari au mashuhuda wamekuona kwa 100% .. sijajua Nini kipo nyuma ya hili
 
Angesema tu sorry asieee nimevurugwa huko nimepewa taarifa mbaya naendesha tu gari hapa ila akili hata haipo hapa. Samahani sana ni bahati mbaya niwie radhi mkuu.
Inategemea na jinsi alivyomfuata kutoka kwenye Bodaboda. Pengine aliona maisha yake yako hatarini na wakimchangia wanaweza kumuuwa.

Kama walikuwa wametoka msibani, uwezekano mkubwa ni walikuwa wamelewa. Na kitendo cha kusimamisha pikipiki hiyo saa nne na nusu usiku, kushuka na kumfuata, makosa ni ya marehemu. Tena especially kama ajali haikutokea.

Hapo ulevi wao uliwatuma wamuoshee. Sikubaliani na matumizi ya hovyo ya bastola, lakini marehemu ana makosa zaidi kwa maoni yangu.
 
Watu weusi tuna matatizo ya akili by nature, Hili suala la watu kuruhusiwa kumiliki Silaha always nalipinga. Hayo mambo ni kwa watu weupe tu. Hapa kwetu mtu akishamiliki silaha tu anaanza kujiona ni mbabe.
 
We bwana acha uongo, ati kilometa 27 toka Himo hadi Moshi.
Unafikiri sisi chasaka wa kuja?
Nimeacha hata kusoma.
 
Tanzania hakuna sheria ya blood money. Ingekuwa Uarabuni au Pakistan angelipa blood money mchezo kwisha anaachiwa.

Kwa hapa atatoa rushwa kwa wakubwa aachiwe na familia ya marehemu haitaambulia chochote
Ndio maana amewahi kijishtaki' ili aseme "niliua bila ya kukusudia". Kesi kwishney!
 
Hizo bastola mnazouziana kipesalization bila kuangalia mental stability ya kuhold up strange situation kama hizo ni janga.Watu wengine wana ukichaa uliojificha.Kigezo cha kumiliki silaha kisiwe pesa pekee.Akili,Saikolojia na historia ya mhusika ni muhimu vichunguzwe kwa undani zaidi
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali inapostahili. Ila wakati mwingine Bodaboda nao huwa wana yao.
 
Wawe makini na maelezo Yao

Mmoja ,walipigana
Mwingine, walizozana na kutaka kupigana

Hatujui muuaji ,anasemaje alitaka kuibiwa akajihami au lah
 
NARUDIA KUSEMA HUMU NA NISHASEMA SANA HUMU
asilimia kubwa ya wanaomiliki bastola
Haziwasaidi chochote zaidi ya kuwaletea majanga

Ova
Uko sahihi juzi kati kuna mshamba mmoja katishia watu na kupiga bullet Moja juu Garage fulani
Kumbe pale kuna Mwanaume anamchora tu
Dakika 10 watu wa Kazi kazini wa hapa wakaondoka nae ....
Tumieni na zitunzeni Bastola zenu vzr kama mlivoelekezwa wakati mnakabidhiwa.
 
Wenda wote walikuwa under influence... Alcohol may be .

Too bad.
Mwenye Bastola huyo ni mkorofi ukisoma Vzr utaona kuanzia uendeshaji majibu yake mpk maamuzi yake.
Kama aliua yule waliyekua wanagombana nae kivipi tena alimrushia yule mwingine risasi ya nini
Ilikua na yeye auwawe tu.
 
Bora Familia idai fidia kwa mtuhumiwa, maana km ana pesa atakaa ndani mda mchache then anatoka nje.

Bora wadai fidia aseeh.
 
Hapo familia iende tu kwenye mahakama ya kimila. Kwenye mahakama za kawaida tayari jamaa anashinda kama kakaa siku 18 bila kupanda kizimbani. Pia kitendo cha kukimbilia town alishajua watetezi wake wako kule. Hapo ni mahakama ya kimila tu ndo inafaa.
 
Wachaga ni kabila la ajabu mno hapa Tanzania
Serikali iwahamishie hao wachaga wa "ajabu' kenya haraka sana.
Kama wamasai "wema"wa longido na ngorongoro wamehamishiwa kwenye mapori ya msomera , hao wachaga wana nini na wao wasipakiwe kwenye mafuso wapelekwe kwenye mapori ya loitoktoki, kenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…