Uchaguzi 2020 Moshi mjini: Mkutano wa Kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli. Asema atafufua viwanda vilivyolala

Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
Hivi hii punieto ya kisiasa bado tu wanaamini itawanusuru na kipigo.
 
jibu lako wiki ijayo tu wala sio mbali
mpungue jamii forums ibakie watu wachache baada ya tarehe hiyo tunajua mtatokomea gizani
Wewe ulikuja na upepo wa uchaguzi wa ENL ,sie tupo tangia Chadema wana Dr Slaa humu,wewe ndio utakimbia.
 
Huu uzi ume mute sana. Wekeni na picha. Kuna eneo fulani walijipanga kumpokea naona watu wakakosekana kabisa peupe. Chezea wachagga wewe. Salute shemeji zangu.
 
Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
Sawa...kwani tatizo liko wapi?! Chadema tembeeni kwa miguu...nyie haya ya kubebwa na malori, pickups, punda, mikokoteni, bodaboda na bajaji hayawahusu...msiteseke bure...
 
Shekhe Ponda Issa Ponda amesema Kuleni pesa za CCM lakini kura zote Chadema
 
Ila Moshi Kuna watoto wazuri bwana...pisi kali kinoma nawaona kwa Tv
 
Jamani Magu anaua Moshi ni hatari jaribuni kumzuia anatupa mawe wazi wazi tanadondokea katika tusi za watu anaua jamani
 
Lakini ni juzi tu ulipokuwa ukisema, kanda hiyo haidanganyiki!!

Vipi Leo, kunabakora zilipita majumbani kwenu kulazimisha watu wapande hayo mabasi?

October 28 is only next week, after which JPM will be sworn in again at Mkapa Stadium
UKIANGALIA HUKU MOSHI MJINI KWA SIKU YA LEO KILA MTU ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE NI TOFAUTI NA SIKU ALIOKUJA TUNDU LISU, YANI SHUGHULI ZILISIMAMA KWA MUDA NA BODABODA ZOTE NA BAJAJI ZILIKUA NA BENDERA ZA CHADEMA TENA KWA MAPENZI YAO,
ILA LEO HAPA MJINI SIJAONA SHAMRA SHAMRA KAMA ZILE ZA TUNDU LISU.
 
Wapongeze kwa kupiga pesa wewe kweli mpinzani hutaki wapate pesa? upinzani ,mna roho mbaya.Wafanyabiashara wa mabasi msiwape kura kabisa upinzani mnawaona mkipiga pesa kwao nongwa!!!
Off point.
 
Naona Kilimanjaro inamfanya kitu mbaya "Anti" kwisha kazi
 
Ila moshi Kuna watoto wazuri bwana...pisi kali kinoma nawaona kwa Tv
Ni pesa yako tu na usiwe umezubaa huna maendeleo utawapata kibao.Huwa hawataki mtu asiye na maendeleo na ambaye hajui kutafuta pesa
 
Bahati mbaya unajidanya wewe mwenyewe, siyo mbaya

Yote Kwa yote, tukutane hapa baada ya uchaguzi, JPM mpaka huu muda tayari keshashinda zaidi ya 76%
 
Kwa hiyo unataka kusema Nini..maana inaelekea unateseka Sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…