Uchaguzi 2020 Moshi mjini: Mkutano wa Kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli. Asema atafufua viwanda vilivyolala

Juzi ulisema kanda ya huko ni ya watu wasomi hawashoboki na unachokiandika hapa, vipi tena mkuu.
Magu anajua kucheza na akili za watu,kwa mfano Dr.Kimei wa Vunjo ameomba Vunjo ipewe halmashauri kwa sababu za msingi.
Nae Magu kamjibu akitaka madiwani wote watoke CCM ili wakishaapishwa wamletee Magu hiyo agenda, ataishughulikia haraka lakini kwa sharti la kuchagua madiwani wote,mbunge na Raisi kwa tiketi ya CCM.
 
Jana na juzi walikuwa wanaangalia msukule unaoishi leo wanapata burudani. Life no stress.
Ccm safari hii wameshikwa maqer Leo.kwa hivyo shule zimefungwa Leo hapo moshi.
 
Vipi Sahani ya Kushiba? Maana Ubwabwa wa kushiba unaonekana kwenye sahani.

Moshiii Mpoooooooooooo!! Asanteni Asanteni Sana.
Sahani iko tupu yani uwanja hakuna watu pamoja na kugawa vinguo vyao bure,dis iz moshi canan ya tanzania
 
Ndio Kampeni pia
 
NEC kuweni makini, Chadema wamesha ona kipigo kizito ndani ya sanduku la kura wanatafuta mtu wa kumrushia Lawama msipoangalia wanaweza susia uchaguzi dakika yoyote kutoka sasa ili Lawama ziwe juu yenu.
 
NEC kuweni makini, Chadema wamesha ona kipigo kizito ndani ya sanduku la kura wanatafuta mtu wa kumrushia Lawama msipoangalia wanaweza susia uchaguzi dakika yoyote kutoka sasa ili Lawama ziwe juu yenu.
Yaaaah waambie waachie mawakara wote Kila kutuo ili tuone watu wanavyoshindwa asubuhi
 
Lakini ni juzi tu ulipokuwa ukisema, kanda hiyo haidanganyiki!!

Vipi Leo, kunabakora zilipita majumbani kwenu kulazimisha watu wapande hayo mabasi?

October 28 is only next week, after which JPM will be sworn in again at Mkapa Stadium
Walevi hata ulaya wapo lakini siyo kama kwenu, wengine wameletwa toka Tanga, Singida, Pwani na Morogoro
 
Moshi shikamooo! Ahsanteni sana. Kama Moshi wamekubali wewe uko sijui manyoni hutatubabaisha abadani.
Kama lisu aliweza kupata watu chato ndio atashindwa magufuli kupata watu moshi?
 
Mzee amefeli, hizo ni ahadi hewa, apumzike tu kwa kweli.
 
Reli ya umeme inasaidia vipi Moshi! wenyewe bado wana gari moshi!!. Hivyo viwanda nani kaviaribu. CCM hawataki kufanya vitu kaskazini ni watu wenyewe ndiyo wana maendeleo sio serikali
 
Walevi hata ulaya wapo lakini siyo kama kwenu, wengine wameletwa toka Tanga, Singida, Pwani na Morogoro
Kama huko kwenu kuna walevi wengi kama hivo, basi huwenda kila penye mji wa watu watano, watatu Kati Yao ndio walevi, na ndio watakaompa Kura JPM!!

Basi JPM Atashinda Kwa kimbunga!!
 
Reli ya umeme inasaidia vipi Moshi! wenyewe bado wana gari moshi!!. Hivyo viwanda nani kaviaribu
Unaakili ndogo Sana wewe, huwenda kipimo chake ni kama akili ya popo!

Unachokiongea hapa ndicho kimedhihilisha hayo!

Wewe ni wa kuonewa huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…