Uchaguzi 2020 Moshi mjini: Mkutano wa Kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli. Asema atafufua viwanda vilivyolala

Reli ya umeme inasaidia vipi Moshi! wenyewe bado wana gari moshi!!. Hivyo viwanda nani kaviaribu. CCM hawataki kufanya vitu kaskazini ni watu wenyewe ndiyo wana maendeleo sio serikali. KCMC haijajegwa na serikali.
 
Kuna watu hawaamini wanachokiona[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwaka 2015 alifika Moshi kuomba kura kwa sera ya Tanzania ya viwanda, kwa ahadi kuwa akichaguliwa atafufua viwanda vya Moshi.

Magufuli amekuwa rais wa Tanzania tangu 2015 chini ya sera ya Tanzania ya Viwanda, hakuna kiwanda kilichofufuliwa Moshi mpaka sasa.

Mwaka huu 2020 Magufuli hana sera rasmi ya Tanzania ya viwanda (imefutwa?) halafu anarudia tena kuwaahidi wakazi wa Moshi kufufua viwanda!!

Anadhani watu wa Moshi ni wajinga sana. Ngoja ifike tarehe 28 Oktoba wamshikishe adabu.
 
Tuliambiwa kuna viwanda 4000, mara ajira millioni 6 zimezalishwa awamu hii ila kiuhalisia hata uchukue darubini huwezi kuona hayo yanayosemwa, wawekezaji wamefunga biashara na kutimkia kwao ,miaka 5 wahitimu wanasubiri neema na hakuna nyongeza ya mshahara sasa kama hivyo vidogo vimemshinda anakuja vipi na habari ya kufufua viwanda!
 
Ila Moshi Kuna watoto wazuri bwana...pisi kali kinoma nawaona kwa Tv
Utatuharibia watoto wetu wewe, na pia miaka 30 inakuhusu. Yaani hata sura tu umeshindwa ng'amua kuwa ni watoto wa shule, "minor" au "under 18"!!?
 
Msomi gani wewe, uajiliwe na Nani na hujitamhui kama umesoma au la

Kama wasomi Tz wako kama wewe, ni Bora msiajiliwe kabisa

October 28 is only next week, after which JPM will be sworn in again at Mkapa Stadium
 
Moshi shikamooo! Ahsanteni sana. Kama Moshi wamekubali wewe uko sijui manyoni hutatubabaisha abadani.
Nyie mapopoma hata 2015 mlipata watu moshi ila kwenye sanduku la kura mkapigwa chini!Watu moshi na kaskazini kwa ujumla endeleni kuwasikia hivyo hivyo kwenye bomba!
 
Msomi gani wewe, uajiliwe na Nani na hujitamhui kama umesoma au la

Kama wasomi Tz wako kama wewe, ni Bora msiajiliwe kabisa

October 28 is only next week, after which JPM will be sworn in again at Mkapa Stadium
Wewe ndiye popoma kabisa,huyo uliyemquote ameandika hoja za maana sana!Wewe umeishia kutoa kashfa tu,jinga kabisa!
 
Mwaka 2015 ulisema utafufua viwanda,mwaka 2020 unasema utafufua viwanda. Moshi Wananchi wamekuelewa?
 
Hiyo ni akili au ujinga?
Yaani mtu mzima anakupa sababu za kimsingi za kwanini anahitaji jambo fulani halafu wewe unatoa majibu ya kipumbavu, halafu unasema anajua kucheza na akili za watu. Huo ni ujinga na upumbavu.

Watu wa Kilimanjaro wanataka haki, uhuru na maendeleo yao, sio kuwalamba viatu watawala. Waligoma huo upuuzi wa kuwalamba viatu watawala tangu za enzi za wakoloni, enzi za TANU na zama za CCM.
 
Kama ulimsikiliza polepole umepotea,, yeye anaongea tu chochote kinachomjia.
 
Unafufuaje kiwanda kilicholala?
Unafufua kitu kilichokufa na unaamcha kitu kilicholala.

Sasa tuambiwe, Mheshimiwa alikuwa anamaanisha lipi?
 
Unajipendekeeeeza!!

Hao waliokuwa wamejaaa uwanjani kumsikiliza huyo usiyempenda walikuwa ni watu kusini wale?

Juzi ulisema kuwa, JPM hatapata watu kwenye Kampeni zake kanda za kaskazini, Leo unabadiri wazo

Mjusi mkubwa wewe
 
Tusubiri 28 Oct
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…