Uchaguzi 2020 Moshi mjini: Mkutano wa Kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli. Asema atafufua viwanda vilivyolala

Baada ya 28 October, mtarukaruka Serengeti Kwa adabu!!

Mbuzi kasoro mkia wewe
Wewe mbwa subiri kuosha miguu ya watu hapo lumumba!Regardless ya kitakachotokea na nani atashinda,maisha yataendelea na nitaendelea kuishi!
Wewe hapo sasa,pressure juu CCM ikianguka!Utakufa mbwa wewe usiyejua kujitafutia zaidi ya kulamba miguu ya watu uendeshe familia,shwain!
 
Hajamnunulia mke wake mkoba tangu amuoe [emoji23][emoji23] Tulikuwa tunamlaumu bure huyu mzee kama ilishindikana kurahisisha maisha ya mkewe kwa watanzania asingeweza.
CCM mfungeni huyu mzee breki ya mdomo hata kwa kumroga anazidi kuwaharibia. Hakuna njia nyingine inabidi akapumzike Chato na awamu hii watanzania tununue mkoba tumpe afikishe kwa mkewe mama zawadi.
 
Naweza kukulisha wewe na familia yako na hata ukoo wako

28 October, Serengeti mtapungua nyinyi! We subiri
 
Maendeleo yanahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Ardhi ni majumuisho ya yote aliyoyabainisha mh Magufuli kuwa nchi imebarikiwa kuwa navyo. Watu tunao wa kutosha na kwa miaka 5 naamini tumeongezeka zaidi kwa ushauri wa mh kusema tuzaane kwa fujo. Nini ni mkwamo wa maendeleo ya Tanzania? Siasa na sera ya CCM is the best. Uongozi mbovu wa CCM ndio shida.
 
Kafanyiwa na Dua na ASKOFU mkuu wa KKKT Askofu Shoo na Shehe mkuu wa Kilimanjaro na team yake waliofika kwenye mkutano wake wa kampeni.

Bado anaendeleza hizo porojo za viwanda?
 
ccm bado wanapiga promo ya tz ya vibanda.
 
Utatuharibia watoto wetu wewe, na pia miaka 30 inakuhusu. Yaani hata sura tu umeshindwa ng'amua kuwa ni watoto wa shule, "minor" au "under 18"!!?
Sikuona watoto wa shule bali pisi Kali wadada.
By the way mimi sio msagaji.
 
Sasa hivi watawarisha vizuri ili wapige kura ,baada ya kura ndo wanaanza kufokewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…