Uchaguzi 2020 Moshi: Mkurugenzi akataa kupokea fomu za wagombea kwa sababu walizituhumu sio halisi, awataka wakazithibitishe polisi kwanza

Lile la risti linaweza kuwa logic.
Na wakiishafuatialia hivyo akathibitisha ni malipo halali ..Sawa


Hili la fomu Mkurugenzi yuko sahihi, na nashangaa kama zilikuwa fake kwanini walijaza na kurudisha? Je zikitupwa kuwa wamefoji?

Kama wanarudisha huku walusema si halali waende polisi zikathibishwe warudishe, . Hapa CDM hawako . Sahihi
 
CDM nao wanajichanganya.
Kwa maelezo yaliyo kwenye clip. Hapo Kuna kujichanganya. Ila walio kwenye uwanja. CDM na Mkurugenzi wanajua zaidi.
 
Wakitandikwa wakurugenziccm kama wawili watatu kipigo cha mbwa koko ndipo CCM itazinduka na kuacha ufala wao
Kosa lake ni lipi hapo? Walioanza kusema wamepewa fomu fake ni Chadema wenyewe. Sasa kama mtu unahisi umepewa fomu fake si unatakiwa kuithibitisha polisi kabla ya kuirejesha?
 
Mengine wanayataka fomu walikaa nazo siku zote ili iweje,
 
🙂 🙂 🙂 mengine inabidi mtu ucheke tu!!
Hapo ina maana Mkurugenzi anatimiza wajibu wake kiweledi na busara!!???
 
Sasa fomu orijino inathibitishwaje polisi? Fomu inathibitishwa kukiwa na copy yake
Tena si polisi bali na wakili au mahakama!! Ila bw. DED msomi anaelekeza zikathibitishwe polisi!!!
Hakika tutaona mengi chini ya tawala za CCM na wateule wao
 
Wakurungezi waliopo waliokotwa kwenye NGOs,wakapewa madaraka wakaajiriwa.kwa mantiki hiyo hawajui uongozi na hawana uzoefu serikalini.
 
Hiyo siyo haki; mkurugenzi afuate sheria tu.
 
Duu, ni ile kauli nimekupa gari, nakulipa mshahara na marupurupu haalafu eti utangaze .........! au analipa fadhila! sasa polisi watathibitishaje ilhali yeye ndie alizitoa? Vituko katika ubora wake
 
Dah hii ni mbaya sana kwa Upendo na amani ya taifa hili
Hakuna ubaya wowote ni hisia zako tu mkuu
Hao viongozi wa chadema hawajui wanae pambana naye sasa unamtuhumu mtu ambaye kesho unarudi tena kwake sio ujuha huo bora Basi madai yangekua ya kweli Mimi naona chadema imekosa watu wenye hekima kuanzia ngazi za juu hadi viongozi wa chini
 
Hayo ya kwenda p1 ni sheria au ndo uzumbukuku ulionao?
Chadema ujuaji utawaponza sana. Fomu amewapa yeye lakini na vyama vingine vimepewa. Kwanini nyinyi ndio munaona mumeonewa?. Hao wengine wanasemaje? Kama kuna hofu ya hivyo kwanini musiende wote kwa pamoja na vyama vingine kulitatua hilo suala?
 
Kumbe ni huu jamaaa!! Kada kindakindaki na maslahi wa chama pendwa, kitambo saaana. Yupo tayari kwa lolote ili mradi anachokisimamia kisifeli. Alikuwa Songea akahamishiwa Mbeya huko, kumbe sasa yupo huko??. Tuendelee kumuombaMungu wa kweli aonyeshe Muujiza kwenye haya matendo. Kwa haya yanayoendelea Mungu tusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…