Uchaguzi 2020 Moshi: Mkurugenzi akataa kupokea fomu za wagombea kwa sababu walizituhumu sio halisi, awataka wakazithibitishe polisi kwanza

Uchaguzi 2020 Moshi: Mkurugenzi akataa kupokea fomu za wagombea kwa sababu walizituhumu sio halisi, awataka wakazithibitishe polisi kwanza

Kwani kazi yake si ni kupokea fomu? Suala la feki au sio feki linaanzia wapi kama ni yeye mwenyewe ndiye alitoa fomu baada ya malipo kufanyika?
Suala feki limeanzia kwa wachukua fomu mkuu.
 
Lililopo..

Nimekupa fomu kisha ukasema ni feki.

Kisha ukaijaza na kuirudisha...so far does it make sense to you sir?

Mimi kama fomu niliyopewa ingekuwa feki ningeirudisha bila kuijaza na kudai iliyo halali maana kama naijua feki basi iliyohalali naijua vema.

Ukinirudishia fomu uliyoijaza huku uliita feki kuna mengi...kwanza ulikurupuka kunichafua. Pili, je nitajibu nini kama fomu uliyoirudisha kweli ni feki na ni mtego, niliyokupatia ilikuwa halali hivyo ulifanya mchezo wa kuset minds za watu kwamba nimekupq feki ilihali ilikuwa halali...sasa wakati wa kurudisha unarudisha feki.

Mmmh, mkuu unatumia nguvu kubwa kujaribu kutetea uovu, lakini Logic inakataa.
 
Kimasihara tu inch inaweza kuingia pabaya
 
Mimi naichukia CCM lakini hatamimi ningelikuwa huyo Mkurugenzi ningezikataa hizo Fomu mpaka zithibitishwe na Polisi kwani Hapo Mtego ni 50/50 Kati ya Chadema na Mkurugenzi.
Kila mmoja hapo anaweza kumuingiza Mkenge mwenzake asiponipanga.

Mtego wa Chadema:
Fomu walizozituhumua kuwa ni Feki wamezijaza na kuzirudisha kwa Waliyemtuhumu! Kama Mkurugenzi aliwapa Fomu OG Chadema wanaweza kurudisha Fake na kumueke Mtego Mkurugenzi kuwa aliwapa Fomu Fake na wana ushahidi wa Kwenda Polisi kutoa Taarifa na Ushahidi wa Barua ya kueleza wasiwasi wao.

Mtego wa Mkurugenzi:
Kama aliwapa Fomu Fake Chadema anasubiri wazirudisha na kuwaondosha kwenye Kugombea huku akiwaripoti Polisi kuwa Chadema wametengeneza Fomu Fake kuichafua Serikali, Na atadai yeye aliwapa Fomu OG.

Hapo kiufupi Wanategana lakini DED kawa mjanja.
 
..tatizo pia ni mamlaka ya nidhamu na uteuzi ya huyo mkurugenzi.

..kwasababu mkurugenzi ameteuliwa toka serikali kuu, basi anakuwa haheshimu watu alioteuliwa kuwatumikia, ambao ni wananchi wa halmashauri husika.
 
Dah hii ni mbaya sana kwa Upendo na amani ya taifa hili
 
Mimi naichukia CCM lakini hatamimi ningelikuwa huyo Mkurugenzi ningezikataa hizo Fomu mpaka zithibitishwe na Polisi kwani Hapo Mtego ni 50/50 Kati ya Chadema na Mkurugenzi...
OCD alimtonya. Huu mwaka huu! Mhn
 
Kama hawana imani nae wasishiriki uchaguzi wa hayo majimbo. Serikali za mitaa mliwakatili wenyeviti kisa tu nyie hamgombei, tuone sasa mkisusa na huu uchaguzi.
 
Hebu mtaalam tusaidie kwanini wagombea wa ccm wamepewa risiti ya halmashauri na wengine wasipewe wapewe ya tofauti?

Kwanini risiti za wagombea ubunge zimeandikwa za wagombea udiwani?

Acheni kujifanya mna akili sana kuliko wengine
Muda mwingine ficheni upumbavu
Tofauti moja ya mashine mkuu....lakini zote za ofisi moja.

Labda kitabu kiliisha....au wa CCM mashine ilikuwa inasumbua...

Mkurungezi ana majibu.
 
mie namshangaa sana jiwe, kama hataki ushindani anashindwa nn kufuta rasmi uwepo wa vyama pinzani hapa tz?? ijulikane duniani kote kwamba nchi yetu ni mfumo wa chama kimoja...Full Stop!.
 
Tofauti moja ya mashine mkuu....lakini zote za ofisi moja.

Labda kitabu kiliisha....au wa CCM mashine ilikuwa inasumbua...

Mkurungezi ana majibu.
Alipaswa ku clear hiyo doubt right away bila kupotezeana muda na maneno mengi yasiyo na maana

Hii nchi ikiharibika msije kusema hakuna walio onya juu ya viashiria hivi vya kipumbavu kabisa
 
Mmmh, mkuu unatumia nguvu kubwa kujaribu kutetea uovu, lakini Logic inakataa.
Kwangu logic itakataa nitakapo msikia mkurungezi akisema aliwapa wagombea wengine fomu zisizo fanana bila sababu maalum mkuu.

Kwa hiyo wagombea wa vyama vingine hawajarudisha! Je, zimepokelewa au wanasubiri uteuzi kisha waambiwe fomu zao ni feki.

Uteuzi haupo mbali tusubiri tuone...maana kwa maelezo ya mwenyekiti wa CDM sio CDM tu waliopewa hizo fomu...hata NCCR.

Je, NCCR wamesharudisha? Zimekubaliwa? Tusubiri kwenye uteuzi.
 
Alipaswa ku clear hiyo doubt right away bila kupotezeana muda na maneno mengi yasiyo na maana

Hii nchi ikiharibika msije kusema hakuna walio onya juu ya viashiria hivi vya kipumbavu kabisa
Binafsi baada ya hii video nimewafutilia hawa watu...wanamivutano ya wenyewe kwa wenyewe.

Ukiondoa siasa...wana mambo binafsi. Wanavutana saana.

Ngoja nihifadhi maneno.
 
Sasa mkurugenzi kakosea nini hapo?

Wewe unapewa fomu kisha unasem ni feki halafu unataka uirudishe kwa aliyekupa fomu feki tena.

Huyo jamaa wanayemuita katibu analisauti likubwa tu na anaongea saana ila kichwani hamna kitu.

Hata mimi nisingeipokea...nenda kqnishtaki nimekupa fomu feki...ili nishtakiwe kwa kujaribu kukurubuni.
Unashabikia dhuluma tu.
Watu kama nyie ni kwenda motoni moja kwa moja.
Je umesahau dhuluma ya uchaguz wa serikali za mitaa?

Taifa la wizi wizi na udanganyifu
Ni kwa nini tunawanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wao?
 
Back
Top Bottom