Moshi: Mlinzi aliyehukumiwa kifo kwa Mauaji ya Mwanafunzi wa Sekondari ya Scolastica aachiwa huru

Moshi: Mlinzi aliyehukumiwa kifo kwa Mauaji ya Mwanafunzi wa Sekondari ya Scolastica aachiwa huru

Nadhani wangeripoti polisi hayo yote yasingewapata, kesi ingekuwa ndogo sana.
 
Mahakama imetumia mantiki (Logic). Elewa basi, sheria huwa inatoa mwanya kwa Logic kutumika, na imetumika.

Assume hilo unalosema ni sheria linefanyika, ukiacha kupoteza muda na pesa, kuna utofauti gani na kama halikufanyika?
Mkuu kazi ya Mahakama ni kutafsiri sheria tu. Ukileta mambo ya logic utafanya vituko, hii mbona ipo wazi sana.

Mkuu ukipata muda google hii case; Mantrac Tabzania Limited Vs. Goodwill Ceramic Tanzania Limited, Civil Appeal No. 269/2020, CAT - DSM. Mugasha, J.A ni Rufaa ya juzi tu August, 2023 sasa kaisome vizuri kabisa, utajifunza kuwa mambo ya kutumia logic sio kazi ya Mahakama, Mahakama inafanya kazi yake kwa kuongozwa na sheria tu.

Kiufupi ni kwamba hiyo Logic unayotaka waitumie ilishatumika wakati wa kutunga hiyo sheria sasa wao ni kuitafsiri na kuifanyia kazi sheria husika.

Usomaji mwema Mkuu
 
Back
Top Bottom