Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?

Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Hiyo ni mbadala wa viboko
Uchagani kumebadilika Zamani wazazi wa kichaga walikuwa wakali kama pilpili hawataki mtoto adeke.Huyo mtoto ingekuwa zamani anarudi anasema mwalimu.kampiga mzazi angemtandika vibokonvingine bila hata kuuliza huko shuleni kakosa nini.Walikuwa na imani kuwa mwalimu akimtandika viboko lazima ana kosa

Sasa hivi ufaulu watoto wengi uchagani umeanza kuwa chini kutokana na wazazi na watoto wao kuiga tabia hizo ambazo wazazi wa makabila ya Pwani ndizo wanazo sana.Mwalimu akifokea mtoto.mzazi huyu hapa hadi walimu wanazira wanaacha mitoto ya Mikos pwani ijiamliamulie yenyewe kama inataka kusoma sawa kama haitaki sawa .Hizo tabia watu wa Pwani wameshaambukiza wazazi na watoto uchagani.Ushahidi huyo mama na Mwanae.Wameonyesha mia kwa mia tabia za wazazi na watoto wa mikoa ya Pwani

Hayo mambo ya kawaida mikoa ya Pwani
 
Serikali inalea sana hawa watu na sio hao tu unakuta mpaka dereva wa mkuu wa wilaya kabebewa mkoba wake na dereva bila aibu

Ndio maana kuna uzi unasema 98% ni wapumbavu
Wapiga deki ni mshahara tofauti na waajiriwe au kuajiriwa na serikali la sivyo waandike kwenye fomu kuwa kukata miti, kulima na kupiga deki na kufua kwa waalimu na kuhemea ni kazi za wanafunzi

Ondokaneni na ujinga mtafika mbali
 
Weee uduguuu kumbe kote hukoo unapajua??? Pale oa Lile bwalo si nilisikia walijenga kanisa eti??

Nina muda sana sijapita pande hizo!
Nilipita kwa Mr Patel pale Forest hill 😂😂😂
Bwalo sijaenda sijui!!
Last time niliingia Msamvu nilikuta kiwanja kipya kinaitwa Florida kuko bomba 😍😍😍
Nililala Morena nilichoka nilitoka Zedi!!
Nimemiss show za wasanii Jamhuri
 
Weee uduguuu kumbe kote hukoo unapajua??? Pale pa Lile bwalo si nilisikia walijenga kanisa eti??

Nina muda sana sijapita pande hizo!
Ha
Weee uduguuu kumbe kote hukoo unapajua??? Pale pa Lile bwalo si nilisikia walijenga kanisa eti??

Nina muda sana sijapita pande hizo!
Hamna kuna mgahawa mzuri sana tuu, na kiwanja cha basketi bado kipo. Labda wawe wanakodi tuu.
 
Hata kama sio ndio mtake kutupanda kichwani kama matahira bwana weeeh!
Sio kuwapanda kichwani, fateni miongozo ya utoaji adhabu kwa watoto, mambo ya kupiga mtoto kama unapiga gaidi la Hamas hiyo hapana kwa kweli.

Watoto wenyewe tunawapata kwa tabu sana jamani, mwalimu unamponda mtoto analudi nyumbani kavimba mwili mzima?? Hapo unataka mzazi nikuchekee kweli?
Hapana tutaumizana niwe muwazi tu...!!
 
Nilisoma Pure Mathematics hakuna mchezo aisee, labda zile Lunch program za shule ndani ya Puzzo aisee balaa.
Ulikuwa unayaweza kaka TO 😂😂😂
Wenzio bata batani hatujali wala nini!!
Sema ningeendelea kusoma Forest ningekua tapeli mcharuko sana!!!
Mana nilikuwa na pilika pilika na wahindi 😂😂😂😂
 
W
Kuna siku nilipita karibu na shule fulani huku kwetu, hakika fimbo za migongo zilitembea kwa wanafunzi. Fimbo zisizo na idadi. Kila mmoja alibaki kuduwaa maana ile haikua kawaida. Kukabaki kuambizana kuwa shule kama hizi sio za kuleta watoto....


Walimu wawe na kiasi hasa kwenye kuadhibu wanafunzi. Kuwachapa hovyo watoto haisaidii kitu zaidi ya kuwaumizah
 
Nilipita kwa Mr Patel pale Forest hill 😂😂😂
Bwalo sijaenda sijui!!
Last time niliingia Msamvu nilikuta kiwanja kipya kinaitwa Florida kuko bomba 😍😍😍
Nililala Morena nilichoka nilitoka Zedi!!
Nimemiss show za wasanii Jamhuri
Dah kitambo sana!!
Sisi tukiwa Olevo Hostel tulikua na Crew ya madada wa Advance ni wadeadly balaaa!

Weekend usiku wanatoroka wanaenda Club Morogoro Hotel kikinuka tunawapigia simu kuwajulisha namie nilikua chawa wao😁!
Kwenye Joint Mass Wasichana wa Morosec tulikua tunacompete na Kilakala kugombania boys wa Mzumbe😁!

Morosec mashauziiiii Kilakala wapolee wametulia ilikua hekaheka balaa!
 
Kuna siku nilipita karibu na shule fulani huku kwetu, hakika fimbo za migongo zilitembea kwa wanafunzi. Fimbo zisizo na idadi. Kila mmoja alibaki kuduwaa maana ile haikua kawaida. Kukabaki kuambizana kuwa shule kama hizi sio za kuleta watoto....


Walimu wawe na kiasi hasa kwenye kuadhibu wanafunzi. Kuwachapa hovyo watoto haisaidii kitu zaidi ya kuwaumiza
Kuna mialimu mikatiri wewe!! Watu wanao watetea hawajajua vzr tabia za Hawa watu
 
7/7 Nimekaa sana Mazimbu Kihonda ndio usiseme!
Sabasaba nilikuwa napapenda jpili kwenda kununua nguo 😂😂😂
Na mambaz shop pale namiti street udugu
Na kuna duka lilikua linaitwa classic lipo near na Nmb!! Afu kuna yule jamaa ras swahiba ake Afande Sele alikuwa maarufu kwa kutengeneza kucha!! Unapajua?
 
Hivi Jamhuri bado kuko vizuri?
Zile show za fiesta zinakujaga?
Niliondoka kitambo toka 2000 huko, nilipokuja Dar chuo, ila naenda mara kwa mara sababu ni home, maza na tumesettle pale. Hivi unakumbuka kipindi kile Jamhuri ilikuwa hostel duuuh ilikuwa balaa.
 
Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?

Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Nani adeki sasa,
Mwalimu au mzazi wa mwanafunzi?
Kama hutaki mwanao adeki peleka private school ambako pesa inalipwa na mzazi kwa wafanya usafi.
Hizi shule za ngumbaro lazima mtoto afanye usafi kwenye eneo lake.
Akikaidi weka mboko nyingi au fukuza nyumbani akaite mzazi aliyemdekeza kuja shuleni kumfanyia usafi mwanae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom