Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Acha kumuita young lady huyo malaya wa enzi za TANU. Nchi inapata uhuru tarehe 9/12/1961 yeye yuko gesti ananyanduana.
 
Kuna wazazi ambao walipata watoto baada ya kuhangaika sana Sasa usije mchapia mtoto wake kwenye jambo lisilo eleweka.....

Nikiwa mdogo dada etu mtoto wa baba mkubwa alikua na mtoto wake mtundu mtundu sanaaa ukimgusa kinawaka....

☺️☺️😊😊☺️
 
Kuna wazazi ambao walipata watoto baada ya kuhangaika sana Sasa usije mchapia mtoto wake kwenye jambo lisilo eleweka.....

Nikiwa mdogo dada etu mtoto wa baba mkubwa alikua na mtoto wake mtundu mtundu sanaaa ukimgusa kinawaka..m

☺️☺️😊😊☺️
 
Kule vijijini hadi kesho kwenye ratiba ya masomo kuna vipindi vinaitwa EK! (Elimu ya Kujitegemea)

Masika ni kuja na jembe kwenda kulima shule zina maeneo ya kutosha!

Kama wazazi hawataki watoto wafanye usafi basi waongee na uongozi wa shule wawe wanachanga wao pesa ili waajiriliwe watu kufanya usafi shuleni.
 
Nyie mnatufanya watoto na habari zenu nusunusu hizi.mwanafunzi wa darasa la tano,tena wa kijijini mzazi wake apige mwalim kisa fimbo moja!!!?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mista maba anataka kukuletea posa akuoe
Dume gani lina matrakoo makubwa vile??? khaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ

Mie nina matraaakoo na yeye ana matraaakooo tutaonekana wote mashangazi akwende hukoo πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
 
We ndiyo mpuuzi, Yaani mtoto adeki wakati mwalimu upo? Tena unalipwa? Mwanafunzi kazi yake ni kusoma sio kufanya usafi miundombinu ya shule
Ila ni kazi ya Mwalimu!!?? Unaongea seriously!!? Afya ya akili ni tatizo kama uko serious....
 
Dume gani lina matrakoo makubwa vile??? khaaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ

Mie nina matraaakoo na yeye ana matraaakooo tutaonekana wote mashangazi akwende hukoo πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
🀣🀣🀣🀣🀣 sijui km kituoni hakuwabana wenzie na mitraaako yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…