BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Huo ni upumbavu, huwezi kumchapa mtoto kiasi hichi!Hivi hawa wazazi walikuwa wapi Enzi zile tunapigwa kama mipira 🤣
Usipodeki unachapwa
Usipoleta kidumu unachapwa
Usipomwagilia maua unachapwa
Usipofanya hesabu unachapwa ukifanya ukakosa unachapwa
Ukirudi nyumbani mchafu unachapwa
Yaani kwa siku kuondoka shule na fimbo 20 ilikuwa kawaida sana...kwani siku hizi Kuna nini??
[emoji848][emoji848]Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Ametafuta laana huyo mtotoKarma is a bitch. Huyo mtoto Hana muda mrefu atakua mgeni wa serikali Kama sio kisongo Basi Ni karanga. Huko ndio kwa wenzake wanaoendana naye.
Zombie mwenyewe....halafu kwenye post haijasema mtoto kachapwa kiasi gani uache kukurupuka.... wewe ambaye hujachapwa umelisaidia nini taifa lako labda sisi tuliochapwa tuanze kujifunza kutoka kwakoHuo ni upumbavu, huwezi kumchapa mtoto kiasi hichi!
Ndio maana nyie mliochapwa sana kipindi kile mmegeuka kuwa mazombi, kila kitu ASANTE MKUU! Ukiambiwa andamana hutaki, UNAJIFICHA UVUNGUNI.
Tuna taifa la mazombi sana, kama wewe! MIJITU MIZOMBI kazi kunyanduana tu na kubakana.
Tena ningekuwa karibu yako ningekutandika bakora nyingi, maana unapenda sana kubamizwa.Zombie mwenyewe....halafu kwenye post haijasema mtoto kachapwa kiasi gani uache kukurupuka.... wewe ambaye hujachapwa umelisaidia nini taifa lako labda sisi tuliochapwa tuanze kujifunza kutoka kwako
Soma hii comment yangu hapa 👆🏾mwalimu wangu alitumia hikma, kuwa mwalimu sio kama mkamilifu alitakiwa achague mwengine. Kama mwengine akikataa siku inayofata kutafanyika usafi au hio classroom’s ilikuwa inanuka?.
Chako ndyo kimejaa ujinga ndyo maana unajita bichwa komwe... halafu mimi sio mwalimu...na hata hivyo we mtoto huna kwahiyo nyamaza wenye watoto waongeeTena ningekuwa karibu yako ningekutandika bakora nyingi, maana unapenda sana kubamizwa.
Kichwa chako kimelemaa kwa bakora, unataka kutuharibia na watoto wetu! JINGA KABISA!
Mitoto inachapwa hovyo inageuka kuwa mazombi, eti ndo maadili!! Aweeeeh, siku umchape mwanangu nakunyuka mpaka unatoroka shule unaenda kujibanza machakani.
KuaziMwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?
Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.
Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Sina mtoto nina mayai.Chako ndyo kimejaa ujinga ndyo maana unajita bichwa komwe... halafu mimi sio mwalimu...na hata hivyo we mtoto huna kwahiyo nyamaza wenye watoto waongee
Ha ha haaaKwa hiyo mnawauzisha watoto wetu visheti, mihogo, vitumbua na maandazi kwa kigezo cha self reliance kweli mnastahili kupigwa.
Kama huujui ualimu wa Sasa ni bora unyamaze tu.Waulize walio kwenye field wakueleze.Mtoto anapigwa fimbo tatu na mwalimu matakoni,anaenda nyumbani mama anamkanda na maji ya moto,yanafumka malengelenge ya hatari,mtoto analetwa shuleni kwa mwalimu kamuumiza mtoto.Ualimu usikue tuTatizo mwandishi ameamua kuchagua kuwa upande wa waalimu bila hata kutumia akili, hivi kweli mtoto achapwe fimbo moja halafu mzazi aje kufanya fujo shuleni?
Fanyeni uchunguzi kidogo kabla ya kuleta habari kwenye public.
-inawezekana mtoto ana matatizo ya afya ndio maana alikataa kudeki, so mwalimu kabla ya kukurupuka kutumia mafimbo angemshirikisha mzazi(siku hizi simu zipo kila mahali).
-semeni ukweli alimchapa vipi na alitoa maneno gani wakati anamchapa au wakati mzazi alipokuja shuleni.
UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE MZAZI.
Unaonekana ulishawahi kuchukuliwa demu wako na mwalimu wwUna uhakika ni kweli alikataa kudeki akachapwa fimbo moja tu? Kabla ya kutoa laana upande mmoja hebu jiridhishe kidogo nini kilitokea.
Nakupa mfano mmoja mdogo, mtoto wa jirani yangu alikuwa mgonjwa wa pumu na alitakiwa asifanye kazi ngumu kwa muda aliokuwa anatumia dozi fulani na taarifa mzazi alipeleka shuleni.
Akaja mwalimu fulani mgeni akaintroduce program ya kukimbia asubuhi kama mazoezi, so kwakuwa yule dogo alikuwa ana kamwili fulani yule mwalimu akajua dogo mzembe tu na akamlazimisha akimbie ili apungue, mzazi alivyoskia vile bado kidogo aje ale kichwa cha yule mwalimu ndio waalimu wengine wakaomba msamaha.
Kumbuka mtoto hawezi kujieleza vizuri ni jukumu la mwalimu kumuelewa haraka kwanini hataki kazi fulani na kuchukua hatua stahiki ila sio kukimbilia kuchapa mtoto kama punda. Rudia tena kutoa comment kistaarabu
Wewe mpuuzi ndo mnaochangia ongezeko la watoto wasio na maadili.Mwanafunzi amekataa kudeki mwalimu ampige kisa mwanafunzi amekataa kudeki?.
Kwanini asichague mwengine adeki tusiwe wepesi kutetea walimu haohao ndio wanao wabaka watoto kwa kutumia njia kama hizo za udhalilishaji. Sijaunga mkono mzazi kumpiga mwalimu napinga mwalimu kumpiga mwanafunzi kwa kukataa kudeki.
Mfundishe mwenyewe nyumbani kwako Sasa kama ukitaka kumlinda vzr.Akija shule tutamtuma,akikataa tutampa doziMwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?
Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.
Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Hapo sawa!!Ni Wachache mkuu ila kuna wanafunzi watukutu sana hao ndio dawa yao! Ila sio kupiga ya kuleta madhara mabaya hio hapana!
Kiukweli Viboko Vinawaka Sana...Usikute Wala sio fimbo moja.Wacha wapigwe maana walimu wamezidisha.