Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Hivi hawa wazazi walikuwa wapi Enzi zile tunapigwa kama mipira 🤣
Usipodeki unachapwa
Usipoleta kidumu unachapwa
Usipomwagilia maua unachapwa
Usipofanya hesabu unachapwa ukifanya ukakosa unachapwa
Ukirudi nyumbani mchafu unachapwa
Yaani kwa siku kuondoka shule na fimbo 20 ilikuwa kawaida sana...kwani siku hizi Kuna nini??
Huo ni upumbavu, huwezi kumchapa mtoto kiasi hichi!

Ndio maana nyie mliochapwa sana kipindi kile mmegeuka kuwa mazombi, kila kitu ASANTE MKUU! Ukiambiwa andamana hutaki, UNAJIFICHA UVUNGUNI.

Tuna taifa la mazombi sana, kama wewe! MIJITU MIZOMBI kazi kunyanduana tu na kubakana.
 
Huo ni upumbavu, huwezi kumchapa mtoto kiasi hichi!

Ndio maana nyie mliochapwa sana kipindi kile mmegeuka kuwa mazombi, kila kitu ASANTE MKUU! Ukiambiwa andamana hutaki, UNAJIFICHA UVUNGUNI.

Tuna taifa la mazombi sana, kama wewe! MIJITU MIZOMBI kazi kunyanduana tu na kubakana.
Zombie mwenyewe....halafu kwenye post haijasema mtoto kachapwa kiasi gani uache kukurupuka.... wewe ambaye hujachapwa umelisaidia nini taifa lako labda sisi tuliochapwa tuanze kujifunza kutoka kwako
 
Zombie mwenyewe....halafu kwenye post haijasema mtoto kachapwa kiasi gani uache kukurupuka.... wewe ambaye hujachapwa umelisaidia nini taifa lako labda sisi tuliochapwa tuanze kujifunza kutoka kwako
Tena ningekuwa karibu yako ningekutandika bakora nyingi, maana unapenda sana kubamizwa.

Kichwa chako kimelemaa kwa bakora, unataka kutuharibia na watoto wetu! JINGA KABISA!

Mitoto inachapwa hovyo inageuka kuwa mazombi, eti ndo maadili!! Aweeeeh, siku umchape mwanangu nakunyuka mpaka unatoroka shule unaenda kujibanza machakani.
 
Sasa mwanafunzi alikuwa haumwi kwann mwalimu achague mwingine wa kufanya usafi?
Hapo tayari mzazi amemtengenezea mtoto mazingira ya kukataliwa unadhani nani atamgusa tena huyo mtoto? Na nikuambie tu mzazi hawezi kumfundisha mwanae kila kitu....80% ya maarifa mtoto anayapata shuleni sio kwa mzazi
Soma hii comment yangu hapa šŸ‘†šŸ¾mwalimu wangu alitumia hikma, kuwa mwalimu sio kama mkamilifu alitakiwa achague mwengine. Kama mwengine akikataa siku inayofata kutafanyika usafi au hio classroom’s ilikuwa inanuka?.
 
Tena ningekuwa karibu yako ningekutandika bakora nyingi, maana unapenda sana kubamizwa.

Kichwa chako kimelemaa kwa bakora, unataka kutuharibia na watoto wetu! JINGA KABISA!

Mitoto inachapwa hovyo inageuka kuwa mazombi, eti ndo maadili!! Aweeeeh, siku umchape mwanangu nakunyuka mpaka unatoroka shule unaenda kujibanza machakani.
Chako ndyo kimejaa ujinga ndyo maana unajita bichwa komwe... halafu mimi sio mwalimu...na hata hivyo we mtoto huna kwahiyo nyamaza wenye watoto waongee
 
Mwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?

Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.

Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Kuazi
 
Kwa hiyo mnawauzisha watoto wetu visheti, mihogo, vitumbua na maandazi kwa kigezo cha self reliance kweli mnastahili kupigwa.
Ha ha haaa
Hiyo siyo sawa kuwageuza wachuuzi watoto wa watu.
BTW, Mimi siyo mwalimu.
 
Tatizo mwandishi ameamua kuchagua kuwa upande wa waalimu bila hata kutumia akili, hivi kweli mtoto achapwe fimbo moja halafu mzazi aje kufanya fujo shuleni?

Fanyeni uchunguzi kidogo kabla ya kuleta habari kwenye public.
-inawezekana mtoto ana matatizo ya afya ndio maana alikataa kudeki, so mwalimu kabla ya kukurupuka kutumia mafimbo angemshirikisha mzazi(siku hizi simu zipo kila mahali).

-semeni ukweli alimchapa vipi na alitoa maneno gani wakati anamchapa au wakati mzazi alipokuja shuleni.

UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE MZAZI.
Kama huujui ualimu wa Sasa ni bora unyamaze tu.Waulize walio kwenye field wakueleze.Mtoto anapigwa fimbo tatu na mwalimu matakoni,anaenda nyumbani mama anamkanda na maji ya moto,yanafumka malengelenge ya hatari,mtoto analetwa shuleni kwa mwalimu kamuumiza mtoto.Ualimu usikue tu
 
Ukute kapigwa mifimbo mkono anarudi nyumbani mkono umevimba.Unategemea mtu akuelewe yaani lazima nikutoe ngeu
 
Una uhakika ni kweli alikataa kudeki akachapwa fimbo moja tu? Kabla ya kutoa laana upande mmoja hebu jiridhishe kidogo nini kilitokea.

Nakupa mfano mmoja mdogo, mtoto wa jirani yangu alikuwa mgonjwa wa pumu na alitakiwa asifanye kazi ngumu kwa muda aliokuwa anatumia dozi fulani na taarifa mzazi alipeleka shuleni.

Akaja mwalimu fulani mgeni akaintroduce program ya kukimbia asubuhi kama mazoezi, so kwakuwa yule dogo alikuwa ana kamwili fulani yule mwalimu akajua dogo mzembe tu na akamlazimisha akimbie ili apungue, mzazi alivyoskia vile bado kidogo aje ale kichwa cha yule mwalimu ndio waalimu wengine wakaomba msamaha.

Kumbuka mtoto hawezi kujieleza vizuri ni jukumu la mwalimu kumuelewa haraka kwanini hataki kazi fulani na kuchukua hatua stahiki ila sio kukimbilia kuchapa mtoto kama punda. Rudia tena kutoa comment kistaarabu
Unaonekana ulishawahi kuchukuliwa demu wako na mwalimu ww
 
Mwanafunzi amekataa kudeki mwalimu ampige kisa mwanafunzi amekataa kudeki?.
Kwanini asichague mwengine adeki tusiwe wepesi kutetea walimu haohao ndio wanao wabaka watoto kwa kutumia njia kama hizo za udhalilishaji. Sijaunga mkono mzazi kumpiga mwalimu napinga mwalimu kumpiga mwanafunzi kwa kukataa kudeki.
Wewe mpuuzi ndo mnaochangia ongezeko la watoto wasio na maadili.
 
Mwalimu mbona unamkingia sana kifuabmwalimu mwenzio? Yani kamchapa fimbo? Kweli mwalimu huu ndio ukweli?

Hata hivyo acha wazazi tulinde watoto wetu maana tunaona namna mnawashambulia wanetu huku mkiwarekodi na kutuonyesha mtandaoni.

Popote ulipo mzazi mlinde mwanao kwa gharama yoyote walimu wa leo vijanavijana hawa sio watu sahihi kwa usalama wa watoto wetu mambo yamebadilika sana.
Mfundishe mwenyewe nyumbani kwako Sasa kama ukitaka kumlinda vzr.Akija shule tutamtuma,akikataa tutampa dozi
 
Ila kwanini mara nyingi waalimu ndo wanaopigwa? Ni mara chache kusikia mwalimu kamtwanga mzazi. Kuna mara moja niliona clip mkuu wa shule akimtandika viboko mzazi feki aliyeletwa na mwanafunzi aliyeambiwa akamlete mzazi.
 
Back
Top Bottom