Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba

Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
 
Aliekuambia mahindi yanafanya kutokuwa jiji ni nani..?? Hii mind set ya mji kuwa jangwa ifike mahali ife mimea inafaida kushinda hata hayo majiji mnayokimbilia!.
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
 
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.

Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.

Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Usiite mimea uchafu acha ujinga wewe,Kama manispaa ya jiji imeshindwa kudhibiti uchafu walalamikie wao na sio hiyo mimea maana mimea inaweza kuwepo na usafi ukawepo.
Pili ulinzi ni juu ya jiji mkishindwa kudhibiti wezi hiyo ni juu yenu kwani kamati za ulinzi hazipo..?
Hivi mkuu unaelewa hata mimea inafaida gani au unacharanga tu maandishi hapa..?
Wadudu na wanyama hawana makosa kuwepo kwenye mazingira usijifanye wewe unaakili kushinda hayo mazingira wakati ndo yanakulea yakiwa yanawadudu na wanyama nawewe ukiwa ni mnyama mmoja wapo isipokuwa umejawa ujinga tu.
 
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.

Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.

Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Akili yako ipo chini
 
Ni manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi
Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na kahama
Sahihi 100%
 
Ni manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi
Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na kahama
Acha Uongo wewe
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Ungeeleza eneo gani pale mjini kati lina mahindi jombaa...
Kwanza Halmashauri za miji tu haziruhusu mazao marefu mjini...

Hayo mahindi ndani ya Moshi mjini umeyaona maeneo gani?
 
Back
Top Bottom