Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Usiite mimea uchafu acha ujinga wewe,Kama manispaa ya jiji imeshindwa kudhibiti uchafu walalamikie wao na sio hiyo mimea maana mimea inaweza kuwepo na usafi ukawepo.
Pili ulinzi ni juu ya jiji mkishindwa kudhibiti wezi hiyo ni juu yenu kwani kamati za ulinzi hazipo..?
Hivi mkuu unaelewa hata mimea inafaida gani au unacharanga tu maandishi hapa..?
Wadudu na wanyama hawana makosa kuwepo kwenye mazingira usijifanye wewe unaakili kushinda hayo mazingira wakati ndo yanakulea yakiwa yanawadudu na wanyama nawewe ukiwa ni mnyama mmoja wapo isipokuwa umejawa ujinga tu.
Mkuu wasukuma hawapatani na mimea kabisa.
Wao miti tu ni uchafu!!!
Waje hapa wabishe
 
bila shaka utakuwa manka wewe

maana unapasifia sana moshi wakati hakuna kitu
 
Akili yako ipo chini

Kama unatumia mbege acha haraka,,,waambie na jamaa zako wanaotumia kilevi waache haraka. Na jitahidini mji wilaya yenu muijenge angalau muwe sawa na kahama,,na sio kulialia mbele ya magufuli/mama samia
 
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.

Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.

Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Wasukuma tangu Meko adedi akili zimehamia makalioni
 
Kama unatumia mbege acha haraka,,,waambie na jamaa zako wanaotumia kilevi waache haraka. Na jitahidini mji wilaya yenu muijenge angalau muwe sawa na kahama,,na sio kulialia mbele ya magufuli/mama samia
Kahama kuna nn? Mji hata mfumo wa maji machafu hamna unasema nao ni mji wa kulinganisha na Moshi? Hivi kwanza CBD ya kahama ipo sehemu gani?

We nenda kawasaidie wenzako huku
 
Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba

Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Ukiondoa Magherafelt machache yaliyoko moshi mjin kahama ni habari nyingine mkuu
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Unasema kinyume kabisa na mji wa Moshi ambao karibu kila mwaka unashika nafasi ya kwanza kwa usafi. Moshi ndio mji wenye maji safi, salama, matamu na yenye kutosheleza kuliko manispaa nyingine yoyote Africa. Unafikiri kuwepo mashamba ya mahindi au migomba mjini ndio kuufany mji kuwa mbaya?!!! Wewe unatokea Kahama au Dodoma nini msikopenda miti.
 
Unasema kinyume kabisa na mji wa Moshi ambao karibu kila mwaka unashika nafasi ya kwanza kwa usafi. Moshi ndio mji wenye maji safi, salama, matamu na yenye kutosheleza kuliko manispaa nyingine yoyote Africa. Unafikiri kuwepo mashamba ya mahindi au migomba mjini ndio kuufany mji kuwa mbaya?!!! Wewe unatokea Kahama au Dodoma nini msikopenda miti.
Moshi imebaki tu na kushika nafasi ya kwanza ya usafi lakini hakuendelei
 
Back
Top Bottom