Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Mkuu wasukuma hawapatani na mimea kabisa.
Wao miti tu ni uchafu!!!
Waje hapa wabishe
 
bila shaka utakuwa manka wewe

maana unapasifia sana moshi wakati hakuna kitu
 
Akili yako ipo chini

Kama unatumia mbege acha haraka,,,waambie na jamaa zako wanaotumia kilevi waache haraka. Na jitahidini mji wilaya yenu muijenge angalau muwe sawa na kahama,,na sio kulialia mbele ya magufuli/mama samia
 
Wasukuma tangu Meko adedi akili zimehamia makalioni
 
Kama unatumia mbege acha haraka,,,waambie na jamaa zako wanaotumia kilevi waache haraka. Na jitahidini mji wilaya yenu muijenge angalau muwe sawa na kahama,,na sio kulialia mbele ya magufuli/mama samia
Kahama kuna nn? Mji hata mfumo wa maji machafu hamna unasema nao ni mji wa kulinganisha na Moshi? Hivi kwanza CBD ya kahama ipo sehemu gani?

We nenda kawasaidie wenzako huku
 
Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba

Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Ukiondoa Magherafelt machache yaliyoko moshi mjin kahama ni habari nyingine mkuu
 
Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Unasema kinyume kabisa na mji wa Moshi ambao karibu kila mwaka unashika nafasi ya kwanza kwa usafi. Moshi ndio mji wenye maji safi, salama, matamu na yenye kutosheleza kuliko manispaa nyingine yoyote Africa. Unafikiri kuwepo mashamba ya mahindi au migomba mjini ndio kuufany mji kuwa mbaya?!!! Wewe unatokea Kahama au Dodoma nini msikopenda miti.
 
Moshi imebaki tu na kushika nafasi ya kwanza ya usafi lakini hakuendelei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…