dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
Novena ya siku tatuParoko wa Parokia ya Narumu, Kata ya Machame Mashariki, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali katika ibada ya Misa Takatifu kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita ambapo watu / mtu wasiojulikana wameiba kapu la sadaka kanisani.
Sadaka hizo zilikuwa ni majitoleo ya shukrani, vipaji pamoja na sadaka ya Misa Takatifu katika Ibada ya Misa ya kwanza ya Jumapili iliyopita.
Padri Chuwa amewaasa waamuni wa kanisa hilo kusali Sala Maalum kwa muda wa siku tatu kwa ajili ya watu/mtu huyo aliyeiba sadaka hizo na kuwa kitendo hicho kilichofanyika kanisani hapo ni kibaya sana na anamkabidhi Mungu.
Usikute ndo mambo kama ya kipind kile yameanzaKule geita wameingia na kuharibu vitu vya ndani ya kanisa, haya sasa moshi nako wameiba sadaka. Swali la kuuliza ni kina nani hao wanaoingia makanisani na kufanya uhuni huo? Kama si wenyewe wanayoyajua mazingira yao?
Kanisa katoliki ni taasisi kubwa na ina mali nyingi za thamani hivyo kulazimika kuwa na ulinzi mkali. Ulinzi wote huo mkali kibaka au jambazi ataingilia wapi?
Anyway kama hali imefikia mpaka watu wanaiba makanisani bila hofu ya Mungu basi maadili ya kiroho yameporomoka kwa kiwango cha kutisha
hata mimi hilo suala la sala maalamu siungi mkono amuachie Mungu tuPadre aache tu afanye kama ametoa sadaka
Sala maalum kwa siku 3 za nini tena
Unamuachiaje bila kusema na yeye! na njia ya kusema na Mungu ili umuachie Ni sala. Tunasema na Mungu kwa njia ya Sala!hata mimi hilo suala la sala maalamu siungi mkono amuachie Mungu tu
Kwenye heading unasema mchaga kwenye content inasema wasiojulikana! Acheni kuwa biased na wachaga nyie mbwa.Ila wachaga Kwa pesa ni noma sana ,hawana hata hofu ya Mungu kweli?
Machame wanaishi Wanyakyusa au? 😁😁😜😜Kwenye heading unasema mchaga kwenye content inasema wasiojulikana! Acheni kuwa biased na wachaga nyie mbwa.
Tena ni mbwa Koko, kwahiyo Mzaramo hawezi kufanya wizi uchagani?Kwenye heading unasema mchaga kwenye content inasema wasiojulikana! Acheni kuwa biased na wachaga nyie mbwa.
Mzaramo na uchagani wapi na wapi? Wezi na waroho wa pesa Tzn hii ni Wachaga 🤪🤪Tena ni mbwa Koko, kwahiyo Mzaramo hawezi kufanya wizi uchagani?
Kwahiyo kwenu mnaishi wa kabila lenu? Kuwa na akili dunia sasa ni kijiji mbwa wewe.Machame wanaishi Wanyakyusa au? 😁😁😜😜
Sasa,hapo wametajwa watu wasiojulikana,iweje uandike mchaga ndiye aliyeiba?Huo ni udhalilishaji.Si mwenendo mzuri kuwawazia wengine mabaya tu.Ila wachaga Kwa pesa ni noma sana ,hawana hata hofu ya Mungu kweli?
Kuna miaka fulani kuna mwamba alisepa na sadaka hapo St Peters
Ova