saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Walifunga makamera, wakambaini kumbe mlinzi wa pale, kajibadilisha kuvaa miwigi Kama Dem, Ila walimshika.Kuna miaka fulani kuna mwamba alisepa na sadaka hapo St Peters
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifunga makamera, wakambaini kumbe mlinzi wa pale, kajibadilisha kuvaa miwigi Kama Dem, Ila walimshika.Kuna miaka fulani kuna mwamba alisepa na sadaka hapo St Peters
Ova
Una mahaba sana na Mbowe mpe tu ile kitu yako laini huko nyuma,uwe naye karibu zaidi ya sasa.Watakuwa ni ndugu zake na Mbowe huko Machame
USSR
pole mrembo.wanapenda kukuudhi sanaSasa,hapo wametajwa watu wasiojulikana,iweje uandike mchaga ndiye aliyeiba?Huo ni udhalilishaji.Si mwenendo mzuri kuwawazia wengine mabaya tu.
Kwa nini wasishukuru mungu tu, maana kusoma ibada maalum ya siku 3,ni kinyume na misamaha ambayo wakristo hupaswa kuwa nayo!Paroko wa Parokia ya Narumu, Kata ya Machame Mashariki, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali katika ibada ya Misa Takatifu kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita ambapo watu / mtu wasiojulikana wameiba kapu la sadaka kanisani.
Sadaka hizo zilikuwa ni majitoleo ya shukrani, vipaji pamoja na sadaka ya Misa Takatifu katika Ibada ya Misa ya kwanza ya Jumapili iliyopita.
Padri Chuwa amewaasa waamuni wa kanisa hilo kusali Sala Maalum kwa muda wa siku tatu kwa ajili ya watu/mtu huyo aliyeiba sadaka hizo na kuwa kitendo hicho kilichofanyika kanisani hapo ni kibaya sana na anamkabidhi Mungu.
Kwahiyo akilaani ndiyo watu watarudisha? Aende zake huko Juha mkubwaParoko wa Parokia ya Narumu, Kata ya Machame Mashariki, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali katika ibada ya Misa Takatifu kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita ambapo watu / mtu wasiojulikana wameiba kapu la sadaka kanisani.
Sadaka hizo zilikuwa ni majitoleo ya shukrani, vipaji pamoja na sadaka ya Misa Takatifu katika Ibada ya Misa ya kwanza ya Jumapili iliyopita.
Padri Chuwa amewaasa waamuni wa kanisa hilo kusali Sala Maalum kwa muda wa siku tatu kwa ajili ya watu/mtu huyo aliyeiba sadaka hizo na kuwa kitendo hicho kilichofanyika kanisani hapo ni kibaya sana na anamkabidhi Mungu.
Acha fikra za kipumbavu.Kila uonapo avatar unawaza ni za warembo kama dada zako?Stupid!pole mrembo.wanapenda kukuudhi sana
mrembo Kumbe usiku hukulala?polesana but I love you Soo much.nitakuoa ili usikeshe mitandaoniAcha fikra za kipumbavu.Kila uonapo avatar unawaza ni za warembo kama dada zako?Stupid!
Kuiba kanisani ni kuiibia jamii.Paroko wa Parokia ya Narumu, Kata ya Machame Mashariki, Padri Thomas Chuwa amelaani vikali katika ibada ya Misa Takatifu kitendo kilichofanyika katika Ibada ya Jumapili iliyopita ambapo watu / mtu wasiojulikana wameiba kapu la sadaka kanisani.
Sadaka hizo zilikuwa ni majitoleo ya shukrani, vipaji pamoja na sadaka ya Misa Takatifu katika Ibada ya Misa ya kwanza ya Jumapili iliyopita.
Padri Chuwa amewaasa waamuni wa kanisa hilo kusali Sala Maalum kwa muda wa siku tatu kwa ajili ya watu/mtu huyo aliyeiba sadaka hizo na kuwa kitendo hicho kilichofanyika kanisani hapo ni kibaya sana na anamkabidhi Mungu.
Kuna wakati fulani watu walipiga hela kanisa la mlima wa moto,ila mch mama akapotezea tuKwenye heading unasema mchaga kwenye content inasema wasiojulikana! Acheni kuwa biased na wachaga nyie mbwa.