Moshi: Taa za barabarani zinazotumia 'solar' zaibwa

Moshi: Taa za barabarani zinazotumia 'solar' zaibwa

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye Barabara ya Nyerere (Nyerere Road) kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.

Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza, viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundombinu ya Watanzania.

Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.

Angalieni picha hizi hapa👇

IMG-20240413-WA0011.jpg

IMG-20240413-WA0012.jpg


UPDATE_JULY 28, 2024
Moshi. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ipo tayari kurejesha taa za barabarani za umeme wa jua (sola) 120 zilizoibwa katika wimbi linaloendelea la wizi, lakini kwanza inataka kufahamu kiini cha kuibuka kwa uhalifu huo.

Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi wa manispaa hiyo, Mwajuma Nasombe wakati akijibu malalamiko ya wananchi wanaohoji ukimya wa halmashauri kufunga taa mpya na kurejesha taa katika barabara hizo muhimu.

Kwa miaka mitatu mfululizo, Mji wa Moshi na vitongoji vyake umeshuhudia wimbi kubwa la wizi wa taa hizo za sola pamoja na betri zake. Barabara zilizoathirika zaidi ni Sukari, Zara au Tembo na Bonite pamoja na baadhi ya kata.

Mwananchi
 

Attachments

  • IMG-20240413-WA0018.jpg
    IMG-20240413-WA0018.jpg
    174.6 KB · Views: 3
  • IMG-20240413-WA0019.jpg
    IMG-20240413-WA0019.jpg
    153.5 KB · Views: 3
Wewe una chuki binafsi na Mkurugenzi na ndio maana unashinda humu jukwaani kumchafua na kumpaka matope.kama unawafahamu walioiba kwanini usiwataje? Kwa hiyo mkurugenzi ndio amekwenda kuiba hizo solar? Ulitaka mkurugenzi alalage barabarani kulinda hizo solar?

Wewe ni mjinga sana unayefanya kazi ya kumchafua mtu kwa chuki zako binafsi za kijinga na wivu tu. Utahangaika sana. Huwezi kumshusha mtu kwa chuki zako binafsi.
 
Wewe una chuki binafsi na Mkurugenzi na ndio maana unashinda humu jukwaani kumchafua na kumpaka matope.kama unawafahamu walioiba kwanini usiwataje? Kwa hiyo mkurugenzi ndio amekwenda kuiba hizo solar? Ulitaka mkurugenzi alalage barabarani kulinda hizo solar?

Wewe ni mjinga sana unayefanya kazi ya kumchafua mtu kwa chuki zako binafsi za kijinga na wivu tu. Utahangaika sana. Huwezi kumshusha mtu kwa chuki zako binafsi.
Hata hiyo barabara mkurugenzi HAIJUI iliko, na ni mtu wa kuishi na kulala ofisini akikusanya michango.
 
Wewe una chuki binafsi na Mkurugenzi na ndio maana unashinda humu jukwaani kumchafua na kumpaka matope.kama unawafahamu walioiba kwanini usiwataje? Kwa hiyo mkurugenzi ndio amekwenda kuiba hizo solar? Ulitaka mkurugenzi alalage barabarani kulinda hizo solar?

Wewe ni mjinga sana unayefanya kazi ya kumchafua mtu kwa chuki zako binafsi za kijinga na wivu tu. Utahangaika sana. Huwezi kumshusha mtu kwa chuki zako binafsi.
Wewe ni kama pork tu
 
Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye barabara ya Nyerere road kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.

Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundo mbinu ya watanzania.

Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.

Angalieni picha hizi hapa👇

View attachment 2962027
View attachment 2962028
Hawa wezi watapatikana tu. Na wakipatokana wateswe kama Warusi walivyowatesa wale magaidi.
 
Mchaga si mtu wa kufanya urafiki naye, akijua unapolala umekwisha!

Ni watani zangu hawa, nawatania saana, ila hili nimewapa ukweli unaouma
1. Moshi hawaishi wachaga tu. 2. Wizi Tanzania yote ni utamaduni wetu. 3. Ukichunguza sana utakuta hata hizo taa za solar ziliwekwa ili watu wapige dili na hazina ufanisi mzuri. 4. Na ukipekenyua zaidi unaweza kukuta walioziweka ndiyo wamekuja kuzichukuwa ili wazi-recycle.
 
Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye barabara ya Nyerere road kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.

Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundo mbinu ya watanzania.

Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.

Angalieni picha hizi hapa[emoji116]

View attachment 2962027
View attachment 2962028
hii sasa mkuu wa mkoa anafanya nini,kama ni kweli
 
Wewe una chuki binafsi na Mkurugenzi na ndio maana unashinda humu jukwaani kumchafua na kumpaka matope.kama unawafahamu walioiba kwanini usiwataje? Kwa hiyo mkurugenzi ndio amekwenda kuiba hizo solar? Ulitaka mkurugenzi alalage barabarani kulinda hizo solar?

Wewe ni mjinga sana unayefanya kazi ya kumchafua mtu kwa chuki zako binafsi za kijinga na wivu tu. Utahangaika sana. Huwezi kumshusha mtu kwa chuki zako binafsi.
We mtu wa ajabu sana

Ova
 
Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye barabara ya Nyerere road kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.

Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundo mbinu ya watanzania.

Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.

Angalieni picha hizi hapa👇

View attachment 2962027
View attachment 2962028
hao wavivu wenye tamaa mbaya na vitu vidogo sana dawa yao inachemka na imebakia kidunchu wananyakwa vizur sana, na watajutia uvivu wao 🐒

za mwizi ni 40, na tayari wako 39.99🐒
 
Mji ni mchafu.
Usiku mjini ni giza balaa, hakuna taa za barabarani.
Mjini njia za waenda kwa miguu pembeni mwa barabara zimechakaa sana.
Nilipofikia pana shida ya maji(sijui ni yeye tu au mji mzima)
Moshi imeharibiwa sn na CCM yaani imekuwa ya hovyo hadi aibu, ukienda soko la Mbuyuni ndiyo usiseme asee.
 
Back
Top Bottom