Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ni afasali kuwa mwisi kuliko kusubaa,testing,testing microphone,one,two,three.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadogo wameenda kunywea pombeMkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye Barabara ya Nyerere (Nyerere Road) kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.
Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza, viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundombinu ya Watanzania.
Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.
Angalieni picha hizi hapa👇
View attachment 2962027
View attachment 2962028
Moshi Kuna watu wa kuja?Mkuu tutake radhi..isijekua wahamiaji yaani watu wa kuja...
Unakuja hapa kututukana na kufoka foka.... "MBE"
Tusi liko wapi? Unajua gharama za hizo taa?Una mitusi kisa taa, ingekuwa hela je?
Utukome
UsindeMoshi Kuna watu wa kuja?
Milioni 3 kwa taa 1?Tusi liko wapi? Unajua gharama za hizo taa?
Mil.3 x120 ni hela ndogo?
YesMilioni 3 kwa taa 1?
Kuna wasukuma,waha,wakurya, wamakonde,wahaya e.t.cMoshi Kuna watu wa kuja?
Muda si mrefu huu Uzi utafutwa hauna Maisha.Fursa ya kukebehi wachaga imepatikana
Una uchungu ? Ile ripoti ya mkaguzi mkuu huioni? Tuache.Tusi liko wapi? Unajua gharama za hizo taa?
Mil.3 x120 ni hela ndogo?
Hao hawajaiba vitu vidogo kama taa ,ni WastaarabuKuna wasukuma,waha,wakurya, wamakonde,wahaya e.t.c
NB.
Moshi sio kisiwa
Nikuoneshe? Hata madarasa hawanaNenda uchagani vjijini kabisa ukikuta familia inaishi kwenye nyumba ya nyasi piga picha uilete hapa jukwaani.
Umasikini upo kila mahali Tz, ila mazingira magumu ya umasikini (ufukara) haupo kila mahali.