ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Acheni kuharibu miundombinu Kwa makusudiUna uchungu ? Ile ripoti ya mkaguzi mkuu huioni? Tuache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kuharibu miundombinu Kwa makusudiUna uchungu ? Ile ripoti ya mkaguzi mkuu huioni? Tuache.
Civilization ilianzia kaskazini mwa iliyokua Tanganyika kuna vivid evidences 🧾Hao hawajaiba vitu vidogo kama taa ,ni Wastaarabu
Wakutosha kiongozi. Mfano huko kulipoibwa taa Bonite kuna wapare na wasambaa na jamii nyingine za Tanga.Moshi Kuna watu wa kuja?
Sasa walionunua hizo taa na hao wezi wa taa nani mwizi kumzidi mwenzake?
Sema wachaga wengi ni walevi hasa wale waliobaki Moshi hii ndo iyosababisha waibe wakikosa hela ya kulewaWakutosha kiongozi. Mfano huko kulipoibwa taa Bonite kuna wapare na wasambaa na jamii nyingine za Tanga.
Namna kata za Moshi zilivyokaa ndivyo uenyeji ulivyo pia.
ww chawa hao mafisadi unaowatetea kila siku wanaiba sh. Ngap? Pongezi kwa wachaga kwa kujiongeza... Komaeni wafunge zingine japo mmezingua!Tusi liko wapi? Unajua gharama za hizo taa?
Mil.3 x120 ni hela ndogo?
Ikaishia wapi Hadi mnaiba taa?Civilization ilianzia kaskazini mwa iliyokua Tanganyika kuna vivid evidences 🧾
Elimu,afya, sanitation, electricity ukibisha uwe na evidences 🧾
Leta hapa acha kelele. Taja na jina la eneo, waliopo huko waseme uhalisia.Nikuoneshe? Hata madarasa hawana
Unajifanya unajuaaa , kumbe hujui lolote.Sema wachaga wengi ni walevi hasa wale waliobaki Moshi hii ndo iyosababisha waibe wakikosa hela ya kulewa
Kweli kwenye ulevi hapo tunazingua sana, hapo sikatai.Sema wachaga wengi ni walevi hasa wale waliobaki Moshi hii ndo iyosababisha waibe wakikosa hela ya kulewa
Kwani sio walevi?Unajifanya unajuaaa , kumbe hujui lolote.
Walevi wapo sehemu chache sana tena huko mipakani Rombo.Kwani sio walevi?
Kweli suala la ulevi lipo Kila mahala lakini kwa wachaga limepindukiaWalevi wapo sehemu chache sana tena huko mipakani Rombo.
Na suala la ulevi lipo kila mahali.
Inasemwa wanyamwezi ndio walevi zaidi Tanzania cc. Shilole e.t.c ALLKweli suala la ulevi lipo Kila mahala lakini kwa wachaga limepindukia