Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hao wezi ni makda wa CCM tupuHao wezi wanazunguka kila sehemu na zaidi ni hujuma ,hamna ch maana wanaharibu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wezi ni makda wa CCM tupuHao wezi wanazunguka kila sehemu na zaidi ni hujuma ,hamna ch maana wanaharibu tu.
Wewe ni kama pork tu.
Uhalifu hauna uteteziSasa c wanakata umeme ovyo mtu haez kubali barabaran kuna solar alafu wamekat umeme
Huko nyumbani walikopeleka solar watafikaje salama?Sasa c wanakata umeme ovyo mtu haez kubali barabaran kuna solar alafu wamekat umeme
Ndo washaiba watafikaje vp tenaHuko nyumbani walikopeleka solar watafikaje salama?
Wakinyongwa au kukabwa watu msijekulialia hapa.
Huyo mkurugenzi anahusika. Awajibishwe na aseme kamuuzia nani.Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye Barabara ya Nyerere (Nyerere Road) kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.
Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza, viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundombinu ya Watanzania.
Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.
Angalieni picha hizi hapa👇
View attachment 2962027
View attachment 2962028
Hujaelewa namaanisha wanatengeneza tatizo kubwa la kiusalama mitaani.Ndo washaiba watafikaje vp tena
Anajihatarish na nan wakat yeye ndo mwiziHujaelewa namaanisha wanatengeneza tatizo kubwa la kiusalama mitaani.
Unakuwa salama nyumbani unajihatarisha wewe na wenzio barabarani.
Unaweza kuiba solar na ukashindwa kupambana na vibaka wengine.Anajihatarish na nan wakat yeye ndo mwizi
Ustadh, kwani Moshi wanaishi wachagga peke yao??Wachaga bana
Nauliza tu,Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye Barabara ya Nyerere (Nyerere Road) kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite.
Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa kimya watazimaliza, viongozi saidieni kumuondoa mkurugenzi anasimamia watu wanaohujumu miundombinu ya Watanzania.
Uongozi wa mkurugenzi una matatizo makubwa.
Angalieni picha hizi hapa👇
View attachment 2962027
View attachment 2962028
Aliyeweka taa barabarani ni nani?Nauliza tu,
Hivi Kati ya Mkurugenzi (DED) na Mkuu wa wilaya (DC) nani ni MWENYEKITI wa ULINZI na USALAMA wa wilaya...!????
Maana naona its like personal attack