Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema atarudi.Aisee moshi arudi, watu walitaman aongee hata kwa dk 5 ila bahati mbaya muda uliisha...
Moshi kulizizima.
Sikupiga kura wakati wa mamvi!Kwa mara ya kwanza nitapiga kura mwaka huu na kura yangu itakuwa kwa Lussu jamaa ana sera na dhamira nzuri kwa mstakabali wa nchi yetu na jamaa wa nyali ama kufukuza wanafunzi, wafanyakazi kwa mgongo wa uzalendo
Watu wamefurahi sana akirejea kwa Mara nyingine.Amesema atarudi.View attachment 1586014
Mkuu kwa tathmini ya mambo yanavyokwenda magu hatoboi.Huo One Love tunaenda kuutandika pale Taifa siku ya kuapishwa kama hatuna akili nzuri.
Tukubali ukweli, Magufuli hashindi uchaguzi huu!
Hapa ilikuwa Marangu walipomsimamisha kutokea Rombo kwenda moshi mjiniView attachment 1585972View attachment 1585973View attachment 1585974
Wewe unapata kitu etieeeLisu hapati kitu endeleeni kujitekenya wenyewe.
Ina maana waliotengeneza mabango makuubwaaaa ya Magufuli na maccm walifanya kazi ya bure na pesa zao zimeenda bure au ilikuwa some sort of money laundering?Hapa ilikuwa Marangu walipomsimamisha kutokea Rombo kwenda moshi mjiniView attachment 1585972View attachment 1585973View attachment 1585974
My President View attachment 1586028Kipenzi chetu Watanzania. Mwenyezi Mungu ampe afya njema na maisha marefu pamoja na familia yake yote na Viongozi wote wa Chadema Nchi nzima AMEN [emoji1431][emoji1431][emoji1431]
Wamepoteza pesa bure.Ina maana waliotengeneza mabango makuubwaaaa ya Magufuli na maccm walifanya kazi ya bure na pesa zao zimeenda bure au ilikuwa some sort of money laundering ?
Maana Rais Mteule TUNDU LISSU hana bango hata moja lakini anasepa na kijiji kila anapotia timu, achana na zile nyomi za wanafunzi wanazozitumia maccm.