Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

davis mosha alitugawia pikipiki akakosa ubunge akaja kunyanganya watu tena zile pikipiki, huu mwaka hesabuni wanaoshangaa kwenye mikutano. kuna wiki tatu zmebaki
Davis Mosha alikuwa CCM.

Moshi hatutaki himaya ya CCM.

Ni chimbuko la Waasisi wa Upinzani Tanzania
 
sasa sku ya matokeo ndo utajua kama ni fiesta ya bure ama laa
Lissu sio mchezo.
IMG_20200929_220343.jpeg
 
ndo mnachocheza nacho cdm
View attachment 1586089
huu mwaka mkipata angalau 12% mfanye ibada zote
Ebu nenda kule.

Ccm na Jiwe imepoteza kibali kwa wananchi ndio maana mnatumia wasanii, wanafunzi , watumishi na kuhonga watu kuja.[emoji23][emoji23]

Mbeya baada ya show ya diamond watu wakaanza kusepa.

Cheki watu wana tia huruma na kukosa furaha
tapatalk_1601485073274.jpeg
 
Yaani CDM.mko vizuri kwenye propaganda na kuunga unga maneneo.

Ninachoweza kusema ni kwamba baada ya tarehe 28/10/200 story zitakuwa kuibiwa kura.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Yaani CDM.mko vizuri kwenye propaganda na kuunga unga maneneo.

Ninachoweza kusema ni kwamba baada ya tarehe 28/10/200 story zitakuwa kuibiwa kura.
Kwani unateseka?[emoji23][emoji23]
 
Ebu nenda kule.

Ccm na Jiwe imepoteza kibali kwa wananchi ndio maana mnatumia wasanii, wanafunzi , watumishi na kuhonga watu kuja.[emoji23][emoji23]

Mbeya baada ya show ya diamond watu wakaanza kusepa.

Cheki watu wana tia huruma na kukosa furahaView attachment 1586093

wasanii wapogo miaka yote kampeni za ccm hazijaanza leo. tafuta lingine la kusema! huu mwaka utakua the worst for cdm kuwahi kutokea because numbers dont lie
 
Duuh! Huyu mtu anapendwa jamani.

Kuna mwingine anazidi kuifilisi nchi kwa kutumia fedha zetu za Kodi kukodi mabasi na kusomba watu.

Hajaishia hapo, pia analazimika kupiga magoti ili kuomba kura.
Hatatoboa na nawambia hawezi ila ni mbwemnwe tu.

Na hapo kavunja sheria maana mwisho.wa mikusanyiko ni saa 12 sasa kama anjua sheria na anvunja sheria basi ujue huyo ana dharau sana,
Akiingia madarakani atavunja zaidi.
 
Hatatoboa na nawambia hawezi ila ni mbwemnwe tu,
Na hapo kavunja sheria maana mwisho.wa mikusanyiko ni saa 12 sasa kama anjua sheria na anvunja sheria basi ujue huyo ana dharau sana,
Akiingia madarakani atavunja zaidi.
Jiwe , majaliwa na samia wameshavunja sheria ngapi?
 
Bora huyu navunja sheria kuliko yule muuaji na mtekaji anayevunja katiba.
Subili kidogo atafungiwa kufanaya kampeni asipo tii sheria ili uingie barabarani utolewe kichwa. Mtakutana na Amsterdam huko ahera akupe majibu kama kuna mtu aliadhibiwa.
 
Duuh zimebakia siku chache tu tufunge huu ukurasa wa Lisu tuendelee na mambo mengine muhimu zaidi.
 
Ccm wataachwa mbali sana,nimefanya utafiti vijana wengi wenye umri kati ya 18 na 35 wanakadi ,walisajiri kwa ajiri ya vitambukisho vya kusajiria simu
Wana kadi za kupiga kura, mnacosahau ni kwamba mlihamasisha watu wenu wasijiandikishe kisa kushindwa serikali za mitaa, hao wapiga kula au piga mbege. Wapiga kura hamna
 
Wana kadi za kupiga kura, mnacosahau ni kwamba mlihamasisha watu wenu wasijiandikishe kisa kushindwa serikali za mitaa, hao wapiga kula au piga mbege.Wapiga kura hamna
Tulijiandikisha kusajili simu. Hujui?[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Si mlisema hamfanyi kampeni , kulikoni?

Hio ni sheria kwa mgombea yoyote, huoni anapitisha sku 5 hajafanya kampeni! ivi unadhan ccm inaendeshwa kienyeji, lazima numbers zisum up kwanza, before anything else numbers first! sasa nyie mkishaona watu barabaran mnahesabu ni kura.
 
Back
Top Bottom