Uchaguzi 2020 Moshi: Tundu Lissu ashindwa kuhutubia baada ya kuchelewa Mkutano wa Kampeni, aahidi kurudi

Kwahyo unajiona umeandika kiingerezaaaaaa kama vile umeshuka saa hii na british airways pumbavu.
Kama Kuna MTU Alikudanganya Akakwambia Chadema Imekufa, Nikuambie Sasa Mimi Nimeshuhudia Chadema Iko Mioyoni Mwa Watu, Aseee.

Kwa taarifa yake huyo mpuuzi aliyetoa kauli hiyo ya kidwanzi, ataanza kufa yeye na Chadema ataiacha ikizidi kustawi.
 
Subiri JPM aingie huko ndio utajua mbivu na mbichi.
 
Ukiona unaota ndoto za mchana kila wakati ujue karibu utakuwa chizi
Huo One Love tunaenda kuutandika pale Taifa siku ya kuapishwa kama hatuna akili nzuri.

Tukubali ukweli, Magufuli hashindi uchaguzi huu!
 
Kwa mara ya kwanza nitapiga kura mwaka huu na kura yangu itakuwa kwa Lussu jamaa ana sera na dhamira nzuri kwa mstakabali wa nchi yetu na jamaa wa nyali ama kufukuza wanafunzi, wafanyakazi kwa mgongo wa uzalendo
Kura yako tupa kule wala hatuna haja nayo. Ni JPM tu hadi 2025
 
Yaani umbumbumbu huu!! Sijui utawaisha lini! Naona mnajichekesha tu na kujijibu kama mazuzu! Watz wameamua kuwashit tu.
Relax Dada!

Kwanini umepanick?

Lissu anapendwa buana.[emoji23][emoji23]
 

Aiseee, unahesabu kura kwa watu kuja kushangaa mkutano? 😂 😂 :wenzako ccm hua wanakuaga na uzio wa wapiga kura wa uhakika na wa nyongeza ambao wataskiliza sera.
 
aiseee, unahesabu kura kwa watu kuja kushangaa mkutano? [emoji23] [emoji23] :wenzako ccm hua wanakuaga na uzio wa wapiga kura wa uhakika na wa nyongeza ambao wataskiliza sera
Unaongelea FIESTA YA BURE?[emoji23][emoji23]
 
Ametuumiza sana wachagga,

Tuna jambo letu 28,Oct.

Amuulize Davis Mosha.

Davis Mosha alitugawia pikipiki akakosa ubunge akaja kunyanganya watu tena zile pikipiki, huu mwaka hesabuni wanaoshangaa kwenye mikutano. kuna wiki tatu zmebaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…