Vihoja vya Lumumba hivi[emoji23][emoji23]
Jiwe joined 2015
Rais Tundu joined 2019.
A Big difference.
WEWE Lissu amewaletewa kiwewe...yeye ni point tuu watu wafurika kwenye rallies zake nyie Mond, Alkiba yani wasanii wote,malorrry, matractor, makokoteni, mabus yakubebea watu PLUS wagaga wote wajadi nchini pia wanawapatia ushirikina support.umenkumbusha lissu alivoingia nchini kwa mara ya kwanza watu walivojaa pale airport kumshangaa alafu ufunguzi wa kampeni mbagala ikawa kituko! mwaka huu mtam sana
Tupia ushahidi sio stori za vijiweni hapo Lumumba.
Moshi tunajielewa.Ila moshii leo mmefanya sifa sasa atatuchukia huyu jamaa
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Hiii sasa ni keroooo
Moshi mjini. View attachment 1585976
Marangu moko hio.Maoni ya mtanzania wa Kiboroloni Moshi :
Hii inaitwa mahaba kutoka moyoni na akilini hii unawezajikuta saa hizi usiku huu mkeo amekimbilia mkutano usiku huu kwenda kmusikiliza Mh.Tundu Lissu 2020 na kuacha chakula kikiungulia na moto jikoni na gesi mpaka imeisha na wewe unachungulia jikoni unajua mkeo Yupo anapika basi na wewe unaongea kwa sauti kubwa mke wangu Niko chooni unafungua geti unakimbilia mkutano kumsikiliza Tundu lissu ghafla unamuona mkeo wote mnajikuta mmefurahi na furaha imeongezeka kicheko cha furaha unashiñdwa kumwambia mkeo chochote wote mnapenda mabadiliko ya kweli Tundu lissu 2020 √ mpaka CCM na wafanyakazi wanamkubali Tundu lissu hakuna wa kubisha hapa. (Ushuhuda mkutanoni wa wana ndoa hawa)
Huo One Love tunaenda kuutandika pale Taifa siku ya kuapishwa kama hatuna akili nzuri.
Tukubali ukweli, Magufuli hashindi uchaguzi huu!
Anapendwa kwakuwa ana advocate mahitaji ya watu/jamii. Lissu yuko positive unlike Magufuli, anayetangaza shari na shida kwa jamii...... "Kufika 2020 atakaye baki mjini atakuwa kidume". By Magufuli et-al.Duuh! Huyu mtu anapendwa jamani.
Kuna mwingine anazidi kuifilisi nchi kwa kutumia fedha zetu za Kodi kukodi mabasi na kusomba watu.
Hajaishia hapo, pia analazimika kupiga magoti ili kuomba kura.
Hivi hawa Moshi si ndiyo waliokanyaga mafuta?Aisee moshi arudi, watu walitaman aongee hata kwa dk 5 ila bahati mbaya muda uliisha...
Moshi kulizizima.
Kama hujui ni polisi ndio waliomwambia aende pale usiku ule angalau awasalimie watu then awaambie watawanyike maana watu waligoma kuondoka.ameanza kukiuka sheria mikitano zaidi ya saa moja usiku?
Huyo bodyguard white amekaa kimafunzo zaidi hana papara ahakikishe hata ulinzi imara kwa jemedari
Naona bodyguard likiimarisha ulinzi wa muheshimiwa rais anayesubili kuapishwa, chapeni kazi yale mabodyguad ya kijani yanayovaa nguo za ccm yanawaonea gereMtu wa watuView attachment 1586033