Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha!Aisee chadema hebu acheni uongo,hio video ni ya 1979 wkt Mkuu wa majeshi amepokelewa na wananchi alipokua ametoka kumpiga nduli Idd Amin.
Tena yasiyo na Usanii.Haya yanaitwa mahaba
Hahah huko Mwanza-Nyamagana Mgombea kupitia CCM analalamika jukwaani anasena Mgombea wa Chadema ubunge anatumia kizizi kuvuta nyomi ya wananchi.Tena yasiyo na Usanii.
Hivi mkuu unaelewa wa mambo ya uchawi, Lissu anatumia ndumba gani mbona hatumii nguvu?[emoji23]
CCM Wana hali ngumuHabari wanaJF!
Baada ya Lissu kuahirisha mkutano Jana Moshi mjini kwa kuchelewa kutoka Rombo baada ya kusimamishwa na wananchi njiani.
Kundi kubwa la watu walimfuata hotel aliyofikia kama ishara ya kuwa na imani nae hadi alipowaomba kwenda kupumzika na bado walionesha hali ya kumlinda anapolala. Chini ni video ikinionesha tukio zima la jana usiku.
Kafara la damu mbichi inayoishi iliyogusa ardhiTena yasiyo na Usanii.
Hivi mkuu unaelewa wa mambo ya uchawi, Lissu anatumia ndumba gani mbona hatumii nguvu?[emoji23]
Sasa nimeelewa.Kafara la damu mbichi inayoishi iliyogusa ardhi
Watu wa Moshi wana sehemu yao mbinguni.Lissu ana kazi ya ziada!
Hali ni tete.1. Tunauchaguzi Mkuu mgumu sana 2020haijawahi kutokea.
2.kampemi na chaguzi unaomulikwa kila kona ya Duniani.
3Upinzani umepata Mgombea Imara kweli kweli tangu tuwe na Mfumo wa vyama vingi 1992 hatujawai kuwa na Mgombea Imara 100 kama Lissu.
4.Tulizoea kuwa na wagombea mapandikizi wengi kwa miaka yote sasa upinzani umepata mgombea mboshi jeuri msomi mjenga hoja asiyekubali kuibiwa wala kushindwa nk nk na chama tawala kimepata mgombea king'ang'anizi na mbabe haswa.
5. Kwa shambulio la lisasi zaidi ya 30 kuvuliwa ubunge na dhuluma nyingi ameamua kuwa na walinzi watakaoweza kumlinda kwa namna yoyote hakuna police yoyote tz mwenye uwezo wa kumgusa ni kuchafua amani ya nchi.
Magufuli aliyataka mwenyewe sita shangaa Lissu akiapishwa asubuhi kabisa.
Hahah huko Mwanza-Nyamagana Mgombea kupitia CCM analalamika jukwaani anasena Mgombea wa Chadema ubunge anatumia kizizi kuvuta nyomi ya wananchi.
Habari wanaJF!
Baada ya Lissu kuahirisha mkutano Jana Moshi mjini kwa kuchelewa kutoka Rombo baada ya kusimamishwa na wananchi njiani.
Kundi kubwa la watu walimfuata hotel aliyofikia kama ishara ya kuwa na imani nae hadi alipowaomba kwenda kupumzika na bado walionesha hali ya kumlinda anapolala. Chini ni video ikinionesha tukio zima la jana usiku.
Mkuu wa majeshi alienda kumpiga nduni 1979 [emoji28] mkuu History yako ina shida kubwa sana.Aisee chadema hebu acheni uongo,hio video ni ya 1979 wkt Mkuu wa majeshi amepokelewa na wananchi alipokua ametoka kumpiga nduli Idd Amin.