Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

IMG-20200202-WA0003.jpeg
 
Vipofu wa kiroho wanatangishwa na kila aina ya upepo ....
Ila ole ole ole , mwenye kudhurumu na azidi kudhurumu na mjinga azidi kuibiwa na wavivu wa kuomba waendelee kutafuta mafuta wakakanyage na wao wakanyagwe ....utajiri na mafanikio vipo kwenye neno la Mungu aliye hai lisilo goshiwa...wamezidi tamaa ndio zimewaponza

sent from toyota Allex
 
Hapana mkuu hapo umedanganya. Hivi ulishawahi kusikia hata hawa wanaojiita 'manabii' hata mmoja ni mchaga?

Pamoja na sisi wachaga kusemwa kuwa tunapenda dough na tunajua kuzisaka lakini hatuwezi kutapeli watu kwa mgongo wa dini, pia hatuwezi kutapeliwa kirahisi. Majority ya wachaga ni RC, Lutheran na Muslims. Huko kwa walokole utawakuta wengi ni wa kanda za kusini kusini huko.

Kufa hao watu Moshi haimaanishi ni wachaga kwasababu Moshi hawaishi wachaga tu. Simple logic.
Punguza pupa faza, soma tena utanielewa
 
@I am Bless: Usiseme kwamba watu wengi wanakurupuka bali jiulize na fanya kuushirikisha vyema ubongo wako.

Iweje mahosptilani wagonjwa ni wengi na kama hawa wanaojiita manabii wanauwezo wa kutibu kwa nini watu waende hospitali badala ya kwenda kwenye haya makanisa?.

Kwa nini watu wahangaike kufanya kazi ilihali wakienda kwa hao mitume wanafanikiwa kupata mkate na kuendeleza familia zao?

Kwa nini watu wahangaike na matatizo ambayo wakipakwa mafuta au maji hayakomi ila inakuwa ni utumwa wa kila leo unataka upate mafuta hayo au maji hayo?

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli kwamba hawa sio manabii wa ukweli wameweka mbele maslahi ya wao kuwa na miujiza ambayo ukiifikiria kwa undani zaidi haieleweki?.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nawashangaa sana watu wanawaamini hawa wachumia tumbo mpaka kufikia hatua ya kuwatukuza na wengine wanawaita mitume

Mitume ??? Blood hell sjui wanafikiria nini duuh kuuziwa mpaka mafuta yaani unauziwa baraka ,sjui maombi kwa kiwango cha sadaka

Jiombee mwenyewe ila watu wabishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio yeye tuu kuna tb joshia nae kanisa liliia kuna kibwetere nae aliwasha moto kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]
Yaani hizi imani nyingine tabu tupu
Ndo maana Kagame kawafutilia mbali hawa. Watu hata kazi hawafanyi wanategemea wakanyage mafuta eti watafanikiwa.
 
ukikosa tumaini kbs ndio kinachfatia icho ,utaamin kil unachoambiwà ukifanye..

walazwe pema marehemu ,pole kw wafiwa wote.
 
Nimeshangaa ni wapi manabii wa zamani walitumia hizo mbinu kuwaonyesha watu ukweli.
haya mahubiri ama mkusanyiko ulikuwa na kibali tokea ofisi za wilaya husika.
pia ndugu zangu waerevu na ma role models wetu wa Tanzania na nyie mnalizwa jamani na huku elimu mmeipata tokea 1800+ enzi Dr Livingstone alipokuja na wenzake pia.
 
Back
Top Bottom