Moshi: Yanayojiri katika Kongamano la BAWACHA Siku ya Wanawake Duniani Machi 3, 2023; Rais Samia mgeni rasmi

Chadema hawakutaka kutumika kama Rubber Stamp. Katika vitu nawakubali Chadema ni ukomavu kwenye misimamo yao.

Kikosi kazi cha Mkandala kilikuwa kinatafuta kuungwa mkono na Chadema. Tukawashtukia kiko kazi kikawa Hewa hata mapendekezo yao Rais Samia aliyakataa na amefata mkondo mwingine ambao ulikuwa msimamo cha chadema.

Kalaghabahooo!!
 
Jamiiforums tupo viral [emoji1007][emoji419]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…