Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
KajinyongeKabisa Mkuu nikumchosha Mh.Rais hapo Bado Mbowe hajaongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KajinyongeKabisa Mkuu nikumchosha Mh.Rais hapo Bado Mbowe hajaongea.
PipaKabisa Mkuu nikumchosha Mh.Rais hapo Bado Mbowe hajaongea.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tunakujua mfuta meza za konyagi za mwenyekitiKajinyonge
Mishangazi kama yooteVideo wamama wa chadema wakiwa na shangwe siku ya wanawake dunianiView attachment 2541314
Kama wewe unavyo Linda kaburi kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tunakujua mfuta meza za konyagi za mwenyekiti
Aisee Tanzania ni nzuri sana. Mambo ni Fireee🔥🔥🔥Ilikuwa yapata majira ya saa moja kasoro asubuhi,kama inavyoonekana kwenye video mitaa ya moshi ililindima kwa shangwe za baraza la wanawake wa CHADEMA.
View attachment 2541320
Kwa hiyo Rais anahuduria kongamano la WAPUMBAVU...kweli mmevurugwa!Bora.. Kongamano la wapumbavu linafaida gani kwa nchi?
Ameen ameenKazi ziendelee
Chadema hawakutaka kutumika kama Rubber Stamp. Katika vitu nawakubali Chadema ni ukomavu kwenye misimamo yao.Unajua mkuu Kuna vitu vinashangaza Sana ,,wakati ACT inahudhuria vile vikao vya mukandala CHADEMA walishambulia Sana lkn leo wao wamegeuka kuwa wasifiaji kuliko ACT ipi ilikuwa Hoja ya Chadema kukataa ?? Hii Ni double standards.... Tutakuja kufukua hizi nyuzi...
Mkuu nenda kanywe pombe ulale hapa utapasula bure kwa stress. Mambo yako kinyume na weweBora.. Kongamano la wapumbavu linafaida gani kwa nchi?
Hawa walikua na siasa za chuki na kuona upinzani sio watu, sahizi wamekuwa wanachukia kila kituMkuu nenda kanywe pombe ulale hapa utapasula bure kwa stress. Mambo yako kinyume na wewe
Yaani wako na stress kila mahalaHawa walikua na siasa za chuki na kuona upinzani sio watu, sahizi wamekuwa wanachukia kila kitu