Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hakuna kitu kama hichoJe COVID 19 watabatana na Rais [emoji23][emoji23][emoji23] suprise wanasamehewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hichoJe COVID 19 watabatana na Rais [emoji23][emoji23][emoji23] suprise wanasamehewa
Ulipotea kabisa toka kesi ya Mbowe, I missed you a lot!Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumatano tarehe 8 March ikiwa ni kilele Cha Siku ya Wanawake Duniani.
Macho na masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa katika mji maarufu wa Moshi mkoani Kilimanjaro.
Chama kikuu Cha Chadema chenye wafuasi takribani Milioni 10 nchini kupitia Baraza lake la Wanawake Bawacha linafanya Kongamano kubwa la kuadhimisha siku hii ya Wanawake Kitaifa katika Ukumbi wa KURINGE.
Kinachovutia kwenye Kongamano hili la Bawacha mwaka huu ni mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye atakuwa mgeni Rasmi kwenye Kongamano hilo.
Kukubali kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni Rasmi kwenye Kongamano la Chadema kumevuta hisia za mamilioni ya Watanzania na hata Jamii ya Kimataifa.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ndiye atakayekuwa mwenyeji wa Rais Samia na anatarajia kumpokea kuanzia saa 3 asubuhi.
Rais Samia kuhutubia Jukwaa moja na Chama kikuu Cha Upinzani Chadema kinaonyesha kilele Cha mafanikio ya Maridhiano ya kisiasa yaliyoasisiwa na Rais pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.
Rais Samia Suluhu Hassan amesikika mara kadhaa akitangaza hadharani kwamba wapinzani nchini siyo maadui wake tofauti na mtangulizi wake John Magufuli aliyejiapiza kuangamiza upinzani nchini na hatimaye kuuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Mji wa Moshi ambao ni Kati ya ngome kuu za Chadema nchini umepambwa na bendera nyingi za chama hicho kikuu Cha Upinzani huku mazungumzo katika mikusanyiko mbalimbali ikiwa ni tukio hili la kihistoria.
Molemo Media tunatarajia kuwaletea mubashara matukio yote muhimu yatakayoendelea hapa ukumbini mjini Moshi kabla na wakati wa Kongamano hilo
Karibuni Sana
Umemjibu vyema sana! Huyu jamaa ni mnafiki sana!Sitakujibu maana unauliza kwa kunijaribu
Kwa akili yako ya kawaida tu kulikuwa na uchaguzi 2020? Au unazungumzia uharamia wa Rafiki yako aliyetangulia mbele ya haki?
Molemo Media tupo mkuuUlipotea kabisa toka kesi ya Mbowe, I missed you a lot!
Nice, naona kuna clips za maandamano, ina maana shrehe zimeanza? Mgeni Rasmi vipi?Molemo Media tupo mkuu
Msije kutuambia mme wasamehe covid 19. Hawa ni wezi, wa kuaminika. Msimamo wa chama uendelee kubaki kuwa hamtambui ubunge wao.
Vizuri..
Maajabu yako wapi wakati wanaenda kusifia harakati za mama.Awamu zilizopita Ilikuwa Siyo rahisi TBC kujihusisha na mambo positive ya vyama vya upinzani
Lakini matunda ya Maridhiano sasa ni dhahiri Leo Kongamano la BAWACHA la Siku ya Wanawake Duniani litarushwa live na TBC
Mgeni rasmi ni mh Rais wa JMT mama Samia
Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa Chadema pia atahudhuria pamoja na viongozi wengine wa vyama mbalimbali walioalikwa
Atawasili muda siyo mrefuNice, naona kuna clips za maandamano, ina maana shrehe zimeanza? Mgeni Rasmi vipi?
Leo sio tu kulamba asali bali ni kukombeleza kabisa
MASAHIHISHO - Kwa Mujibu wa Daftari la Chadema Digital , Chadema ina wanachama Mil 15.4Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumatano tarehe 8 March ikiwa ni kilele Cha Siku ya Wanawake Duniani.
Macho na masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa katika mji maarufu wa Moshi mkoani Kilimanjaro.
Chama kikuu Cha Chadema chenye wafuasi takribani Milioni 10 nchini kupitia Baraza lake la Wanawake Bawacha linafanya Kongamano kubwa la kuadhimisha siku hii ya Wanawake Kitaifa katika Ukumbi wa KURINGE.
Kinachovutia kwenye Kongamano hili la Bawacha mwaka huu ni mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye atakuwa mgeni Rasmi kwenye Kongamano hilo.
Kukubali kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni Rasmi kwenye Kongamano la Chadema kumevuta hisia za mamilioni ya Watanzania na hata Jamii ya Kimataifa.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ndiye atakayekuwa mwenyeji wa Rais Samia na anatarajia kumpokea kuanzia saa 3 asubuhi.
Rais Samia kuhutubia Jukwaa moja na Chama kikuu Cha Upinzani Chadema kinaonyesha kilele Cha mafanikio ya Maridhiano ya kisiasa yaliyoasisiwa na Rais pamoja na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe.
Rais Samia Suluhu Hassan amesikika mara kadhaa akitangaza hadharani kwamba wapinzani nchini siyo maadui wake tofauti na mtangulizi wake John Magufuli aliyejiapiza kuangamiza upinzani nchini na hatimaye kuuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Mji wa Moshi ambao ni Kati ya ngome kuu za Chadema nchini umepambwa na bendera nyingi za chama hicho kikuu Cha Upinzani huku mazungumzo katika mikusanyiko mbalimbali ikiwa ni tukio hili la kihistoria.
Molemo Media tunatarajia kuwaletea mubashara matukio yote muhimu yatakayoendelea hapa ukumbini mjini Moshi kabla na wakati wa Kongamano hilo
Karibuni Sana
Kaka, CHADEMA si ina jimbo moja la kule Katavi? Ni Nkasi Kaskazini.Hizi kura za hawa wanachama huwa zinakwendaga wapi?!.
Ni ulikuwa ngome enzi zile, sasa Chadema haina tena mbunge hata mmoja!, hii ni ngome gani?.
P