Moshi: Yanayojiri katika Kongamano la BAWACHA Siku ya Wanawake Duniani Machi 3, 2023; Rais Samia mgeni rasmi

Ulipotea kabisa toka kesi ya Mbowe, I missed you a lot!
 
Shwange kutoka mitaa ya Moshi
Your browser is not able to display this video.
 
Tukae kwa kutulia tukiwa tunasubiri hotuba nzito ya Bawacha itayoenda kuligusa taifa letu
Your browser is not able to display this video.
 
Awamu zilizopita Ilikuwa siyo rahisi TBC kujihusisha na mambo positive ya vyama vya upinzani.

Lakini matunda ya Maridhiano sasa ni dhahiri leo Kongamano la BAWACHA la Siku ya Wanawake Duniani litarushwa live na TBC.

Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya mMuungano wa Tanzania Mama Samia.

Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA pia atahudhuria pamoja na viongozi wengine wa vyama mbalimbali walioalikwa.
 
Maajabu yako wapi wakati wanaenda kusifia harakati za mama.
 
Tbc ni television ya Taifa ila wanazidiwa akili na Millars Ayo...Wanataka kujbrand kupitia Huu mkutano,hawana Tofauti na Mandonga.
 
MASAHIHISHO - Kwa Mujibu wa Daftari la Chadema Digital , Chadema ina wanachama Mil 15.4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…