Moshi: Yanayojiri katika Kongamano la BAWACHA Siku ya Wanawake Duniani Machi 3, 2023; Rais Samia mgeni rasmi

Enzi za chadema ilipokuwa chadema chini ya Mwamba Dr. Slaa uzi kama huu saa hii ungekuwa na coments zaidi ya 600
 
Mbali na Malemo tv Gani nyingine (local) itaonesha maana naona TBC hawana habari na Moshi.
 
MASAHIHISHO - Kwa Mujibu wa Daftari la Chadema Digital , Chadema ina wanachama Mil 15.4
Hata El Sahaaf hakuwa hivyo kwa propoganda. Yaani kwa dakika chache tu mwenzako kasema milioni 10 wewe unasema milioni 15. Weka ushahidi hapa.Hata timu za Kariakoo zinajinasibu kuwa na wanachama milioni 10!
If wishes were horses beggars would ride.

Unatukana akili za watu.Wakati mwingine shirikisha ubongo.
 
Mimi kama Mimi nawapongeza wote waliofanikisha maridhiano.Kwa wengi damage has already been done lakini kila yule aliyechangia kuliunganisha taifa apewe anachostahili.
 
Enzi za chadema ilipokuwa chadema chini ya Mwamba Dr. Slaa uzi kama huu saa hii ungekuwa na coments zaidi ya 600
Na enzi za baba yako hili kongamano lisinge kuwepo
 
Hayo ndio matokeo ya maridhiano, pale unapoambiwa na mwenzio siasa sio uadui, hapo mnaanza kukaribishana mpaka nyumbani, ajabu wanafiki wanataka hayo maridhiano yasihusishe ruzuku hata kama ipo kisheria, lakini yaguse pengine pote.
Hao watu ni maadui wa mama Tanzania na wanaumwa Apedomia.Yuko wapi mwalimu mkuu wa watu? Alimtabiria Mbowe kuwa ni miongoni mwa wajenzi wa Tanzania mpya.
 
Pesa mingi hauna, bima kubwa hauna, usafiri hauna hata wa baiskeli, unaishi kwa kuunga unga kama mbwa, watoto ndio umefanikiwa kuzaa wa wanawake watano tofauti tofauti yaani kifupi future yako ni nyeusi. Huyo mama pesa anazo, anaweza kukusweka ndani hata sasahivi na usitoke milele, ana uhakika wa maisha yake na kizazi chake. Amka mtu mweusi ulikwisha laaniwa enzi na enzi
 
Hizi kura za hawa wanachama huwa zinakwendaga wapi?!.

Ni ulikuwa ngome enzi zile, sasa Chadema haina tena mbunge hata mmoja!, hii ni ngome gani?.
P
Yaani bwna Njaa hivi siku hizi umekuwaje? Umekuwa kama Mgalatia! Ni nani aliyekuroga? Je,unaamini Chademaninakosa wabunge kihalali? Wewe ni natural lawyer ama ni positive lawyer?
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumatano tarehe 8 March ikiwa ni kilele Cha Siku ya Wanawake Duniani.

Macho na masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa katika mji maarufu wa Moshi mkoani Kilimanjaro...
Mama apewe kadi kubwa kubwa ya CHADEMA hapo Moshi asiondoke hivi hivi.
 
Mh. Mbowe ameingia tayari kwa kumkaribisha Mgeni rasmi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu .
=

=
 
Hutaki Unaacha
 
Yani anayoyafanya rais samia yanafanya nilione lile jitu lilikuwa na laana !! Mungu akupe maisha marefu rais wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…