Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Hili nimelijua kwa kumsikia mwenyewe CinC, akizungumzia jinsi wanavyo trap simu za watu.
msikilize mwenyewe

P.


HJivi huyu mwanyika ndio yule wa ACCACIA, yupo ndani mpaka leo au kashatoka?

Hiyo kauli ya mwisho, nadhani jamaa wakatekeleza kwa vitendo akamiminiwa za kutosha.
 
Maana yangu ilikuwa ni kwamba mfumo wao wa kiutendaji, haupo tofauti sana na hapa kwetu kwani wao ( Mossad) wapo chini ya Ofisi ya Waziri mkuu wa Israel.

Mkuu wacha utani ujue, kuna vitu vya kufananisha ila sio MOSSAD, by the way Israel wajinga hawaendi serekalini na hasa jeshini , huko ni maginius tu
 
Back
Top Bottom