Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kwanini mkuu?Ila hii mijamaa ni mindwanzi kishenzi
πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?Ila hii mijamaa ni mindwanzi kishenzi
πππππππ
Hili nimelijua kwa kumsikia mwenyewe CinC, akizungumzia jinsi wanavyo trap simu za watu.Ulijuaje kama wanadukua simu za watu, ushindwe kujua mengine au kuna sehemu yoyote wame publish TISS kwamba wanadukua simu za watu?
Haha haha duMsidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.
Labda kufukuzana na chadema. Kwahilo nakubaliana naweMsidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.
Elimu yangu na kulisaidia taifa langu kunahusiana vivi na utekaji wa raia wa Tanzania? Walahi huko shule ulienda kusomea ujingaKulalamikia wengine Sisi Africa ndio sifa yetu, ukiulizwa wewe mwenyewe Kwa elimu yako umelisaidiaje Taifa lako, Jibu utakalo toa ni matusi, halafu unajiona Bonge la msomi
Sheria inazuia kabisa kuingilia/kudukua mawasiliano ya watu!Huwa wanafanya hivyo kinyume na sheria kwa ajili ya usalama wa nchi!Sasa unashangaa usalama wa taifa wanajidhalilisha kwa kuweka hadharani watu wakimteta jiwe,ni aibu!Sheria haiwaruhusu kufanya hivyo kuweka vitu hadharani,labda sheria ikabadilishwe lakini sheria, taratibu na kanuni ya uanzishwaji wake inawabana.
Nilichokuwa nakitegemea kutoka kwako ndicho hicho ulichoandika wewe msomi,Elimu yangu na kulisaidia taifa langu kunahusiana vivi na utekaji wa raia wa Tanzania? Walahi huko shule ulienda kusomea ujinga
KAzi nzuri ya kupambana na ChademaWewe siyo mzalendo PERIOD. Umeshiba unajambajamba na ndiyo maana huoni kazi nzuri inayofanywa na hawa ndugu zetu.
Ha ha haaaa!!! Huyo aliyenizushia, alifanya hivyo baada ya kumbananisha kuwa katulisha "matango pori " na habari ambayo haihusiani na chombo Chetu muhimu katika uhai wa Taifa letu. Alifanya hivyo kukwepa aibu.Mkuu eti wewe nawe ni TISS kama wadau wanavyosema hapo juu ? ππππππ
Nshatoa hukumu yangu tayariHa ha haaaa!!! Huyo aliyenizushia, alifanya hivyo baada ya kumbananisha kuwa katulisha "matango pori " na habari ambayo haihusiani na chombo Chetu muhimu katika uhai wa Taifa letu. Alifanya hivyo kukwepa aibu.
Hata wewe pia mbane adhibitishe tuhuma zake hizo fake lazima ataingia mitini ha ha haaaa!!!
Hana lolote mzushi kama baadhi ya wazushi wanaojitokeza mara kadhaa hapa JF. haha ha haaaa!
Kwani waliodukuliwa (i.e Makamba et al) hawakuwa wazalendoNo one can tell nani anadukuliwa na nani hadukuliwi, when they have reasons kukudukuwa, unadukuliwa, mimi hata nikidukuliwa hawapati kitu kwasababu mimi ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili
P
Mkuu hiki kicheko kama lemutuzi kabisaaHa ha haaaa!!! Huyo aliyenizushia, alifanya hivyo baada ya kumbananisha kuwa katulisha "matango pori " na habari ambayo haihusiani na chombo Chetu muhimu katika uhai wa Taifa letu. Alifanya hivyo kukwepa aibu.
Hata wewe pia mbane adhibitishe tuhuma zake hizo fake lazima ataingia mitini ha ha haaaa!!!
Hana lolote mzushi kama baadhi ya wazushi wanaojitokeza mara kadhaa hapa JF. haha ha haaaa!
Mr. P- The humble replierDuh...!, Mkuu Misasa, unaniulizia mimi role ya Tiss?!, nitaijulia wapi?.
Huko kwenye sheria ndio kabisa!.
Jf ni user generated forum mtu anachangia kile unachokijua. Hicho nilichochangia kuhusu TISS ndicho ninachokijua, kama na wewe mwenzetu unajua role ya TISS kwenye Corona, changia.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante kwa kuwasilisha pumba zako, na mimi naomba hizi pumba nikawape nguruwe
Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.
P
Nimependa michango yenu WATANI WA JADI[emoji116][emoji3516]Halafu population ya israel ni ndogo tu but they care
But sisi population ya watu mil60 we don't care about anything!!
What a fucking nation!..
Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.
P
Duh...kutoka kuhusishwa na tisii mpaka kuwa lemutuzi...kweli mmeniamulia leo....πππMkuu hiki kicheko kama lemutuzi kabisaa
ππππNshatoa hukumu yangu tayari
πππππ