Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Your post had all sorts of absurdity...coming to ur 2nd question, never mind,coz my answer won't give you any credit.What's absurd ?And who are you to decide what's absurd and what's not ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your post had all sorts of absurdity...coming to ur 2nd question, never mind,coz my answer won't give you any credit.What's absurd ?And who are you to decide what's absurd and what's not ?
Watu wamegundua ningumu kuorder test kits kiasi iko toka viwandani wakat ambao demand ni kubwa sana ,na watu wakijaribu angalau kugawa kidogo kidogo.Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.
P
Kulalamikia wengine Sisi Africa ndio sifa yetu, ukiulizwa wewe mwenyewe Kwa elimu yako umelisaidiaje Taifa lako, Jibu utakalo toa ni matusi, halafu unajiona Bonge la msomiWa huku kazi yao kuteka wapinzani
Pengine labda kinyume chake!Kwani TISS yetu hawawezi kufanya hivi mkuu ?
Wamefeli kwenye nini?Kwenye sauti za akina Nape,wamefeli sana hawa TISS!
Ahsante kwa kuwasilisha pumba zako, na mimi naomba hizi pumba nikawape nguruweMsidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.
Wajanja wa high index of suspicionMwingine yupo hapa anachoma mahindi na kuuza kahawa na mkoti mkubwa, wajanja wa nkuninkana tulishamjua vizuri
Ahsante kwa kuwasilisha pumba zako, na mimi naomba hizi pumba nikawape nguruwe
Hujaelewa wewe akili ndogo. Uandishi wa namna hii unalenga kuiamsha tasisi yetu nyeti iamke ktk usingizi wake. Hakuna kosa hapo.
Msidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.
African leaders are there to feed their stomachs, kipaumbele chao ni kuhakikisha wanafia madarakani maana wakitoka kabla hawajafa their evils will spread,Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.
P
Moderators wanafanya kazi kubwa kuhakikisha JF inabaki kuwa jukwaa madhubuti lenye habari na taarifa za kuelewaka. Na kama ni utani pia ni utani wa kueleweka, kama ni elimu kutolewa basi ni elimu inayoeleweka....nakadhalika na kadhalika. Wapewe heshima yao moderators wa JF.washafanya yao, hao ni ndio TISS wetu wansikilizwa sana humu kuliko hata wachangiaji, kifupi JF imeshatekwa.
My response to questions and general lifestyle is of no consequence to you...And why do you need to care about my identity that much? And to what end? You must have gone out of your mind.You can't even answer the questions properly,
You command of language is mediocre,
And you are in a wrong side of history.
Yet you still cling unto a notion that you have clearly understood the complex piece of art, a heading which our friend the threader has perched on top of this post.
By the way who are you again ?
Kuweka hadharani udukuaji wao,issue kama hizo ni vitu vidogo visivyo na athari kabisa!Haikupaswa wao kuutaarifu umma kuwa wanadukua mawasiliano ya watu,kwanza ni kinyume na sheria!Ndio maana mataifa mengine hufanya udukuzi na taarifa wanabaki kuzifanyia kazi kwa ajili ya ulinzi wa nchi!Wamefeli kwenye nini?
Duh...!, Mkuu Misasa, unaniulizia mimi role ya Tiss?!, nitaijulia wapi?.Hata wewe hujui role za TISS au unafuata mkumbo tu mkuu?
Niambie sheria ya iliyosabisha uuzishwaji wa TISS inaruhusu ku publish kwa UMMA(public) TASKS yoyote kama walishafeli au kufanikiwa?
Mkuu baada ya Nyerere kutoka Uchina alianza mahaba nao ya ghafla sana, aliiga hadi mifumo yao ya ulinzi. Kule Uchina wana The Guoanbu (Foreign Intelligence) ambayo iko chini ya The Ministry of State Security, yenyewe kila kitengo kinakuwa na wakurugenzi wawili, yani mmoja ni wa kisiasia (Political Commissar) na mwingine ni wa kitaalamu (Technical Director).MKuu upo sahihi lakioni kwanini awajinfunzi kuwa ufanyaji kazi wao wa sasa umepitwa na wakati?
kwanini awajifunzi kutofautisha siasa na kazi zao, kwanini waanajiri vijana wa UVCCM tu na sio waTanzania walio na akili sawasawa, vipaji na uwezo mkubwa wa IQ ?
😂😂😂😂Huku upinzani ndio adui yao namba moja!