Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

What's absurd ?And who are you to decide what's absurd and what's not ?
Your post had all sorts of absurdity...coming to ur 2nd question, never mind,coz my answer won't give you any credit.
 
Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.

P
Watu wamegundua ningumu kuorder test kits kiasi iko toka viwandani wakat ambao demand ni kubwa sana ,na watu wakijaribu angalau kugawa kidogo kidogo.

Wanaume wameingia kazin, usikute hapo wana tumia Bendera za Mataifa mbali mbali kwenda Viwandani , na kujikusanyia mzigo wao.

TISS wa LUMUMBA wanahangaika na Lema kapanda Bus gan, Kafikia Hotel gan hahah.
 
Wa huku kazi yao kuteka wapinzani
Kulalamikia wengine Sisi Africa ndio sifa yetu, ukiulizwa wewe mwenyewe Kwa elimu yako umelisaidiaje Taifa lako, Jibu utakalo toa ni matusi, halafu unajiona Bonge la msomi
 
Msidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.
Ahsante kwa kuwasilisha pumba zako, na mimi naomba hizi pumba nikawape nguruwe
 
Ahsante kwa kuwasilisha pumba zako, na mimi naomba hizi pumba nikawape nguruwe

Wewe siyo mzalendo PERIOD. Umeshiba unajambajamba na ndiyo maana huoni kazi nzuri inayofanywa na hawa ndugu zetu.
 
Msidhihaki taasisi muhimu/nyeti kama hii TISS jamani. Hii taasisi haina chama na ina wazalendo vindakindaki. Huwezi kuwa katika hii taasisi ikiwa hauna uzalendo. They are doing a great job like never before and they are working day and night to intelligently secure the country. Mzizodoe. Naomba kuwasilisha.

MKuu upo sahihi lakioni kwanini awajinfunzi kuwa ufanyaji kazi wao wa sasa umepitwa na wakati?
kwanini awajifunzi kutofautisha siasa na kazi zao, kwanini waanajiri vijana wa UVCCM tu na sio waTanzania walio na akili sawasawa, vipaji na uwezo mkubwa wa IQ ?
 
washafanya yao, hao ni ndio TISS wetu wansikilizwa sana humu kuliko hata wachangiaji, kifupi JF imeshatekwa.
Moderators wanafanya kazi kubwa kuhakikisha JF inabaki kuwa jukwaa madhubuti lenye habari na taarifa za kuelewaka. Na kama ni utani pia ni utani wa kueleweka, kama ni elimu kutolewa basi ni elimu inayoeleweka....nakadhalika na kadhalika. Wapewe heshima yao moderators wa JF.

Mleta uzi ulituletea problem badala ya privilege sisi watumiaji wa mtandao huu wa JF Kwa jinsi ulivyowasilisha dokezo la habari hii. Ha ha haaa!
 
Kaka unayoyaongea kama unauwakika nayo vile. Tupe ushuhuda basi kidogo na sisi tuamini.. Maana mzee wewe ni mtu mzito sana. Ila kama hauna uwakika na vitu usiwe unaviongea.. Utajishushia reputation yako. Wewe ni mwandishi Mkubwa sana hapa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You can't even answer the questions properly,
You command of language is mediocre,
And you are in a wrong side of history.

Yet you still cling unto a notion that you have clearly understood the complex piece of art, a heading which our friend the threader has perched on top of this post.

By the way who are you again ?
My response to questions and general lifestyle is of no consequence to you...And why do you need to care about my identity that much? And to what end? You must have gone out of your mind.
 
Wamefeli kwenye nini?
Kuweka hadharani udukuaji wao,issue kama hizo ni vitu vidogo visivyo na athari kabisa!Haikupaswa wao kuutaarifu umma kuwa wanadukua mawasiliano ya watu,kwanza ni kinyume na sheria!Ndio maana mataifa mengine hufanya udukuzi na taarifa wanabaki kuzifanyia kazi kwa ajili ya ulinzi wa nchi!

Taarifa wanazozipata kwa namna hiyo haziwezi kutumika katika mahakama yoyote kama ushahidi ndio maana watu wameshangaa CCM kutumia udukuzi kuwahukumu waliodukuliwa!Kiufupi ni ushamba wa Jiwe,yeye anaona fahari kusema hadharani kuwa anajua msg wanazotumiana wateule wake!shame!
 
Hata wewe hujui role za TISS au unafuata mkumbo tu mkuu?

Niambie sheria ya iliyosabisha uuzishwaji wa TISS inaruhusu ku publish kwa UMMA(public) TASKS yoyote kama walishafeli au kufanikiwa?
Duh...!, Mkuu Misasa, unaniulizia mimi role ya Tiss?!, nitaijulia wapi?.
Huko kwenye sheria ndio kabisa!.
Jf ni user generated forum mtu anachangia kile unachokijua. Hicho nilichochangia kuhusu TISS ndicho ninachokijua, kama na wewe mwenzetu unajua role ya TISS kwenye Corona, changia.
P
 
MKuu upo sahihi lakioni kwanini awajinfunzi kuwa ufanyaji kazi wao wa sasa umepitwa na wakati?
kwanini awajifunzi kutofautisha siasa na kazi zao, kwanini waanajiri vijana wa UVCCM tu na sio waTanzania walio na akili sawasawa, vipaji na uwezo mkubwa wa IQ ?
Mkuu baada ya Nyerere kutoka Uchina alianza mahaba nao ya ghafla sana, aliiga hadi mifumo yao ya ulinzi. Kule Uchina wana The Guoanbu (Foreign Intelligence) ambayo iko chini ya The Ministry of State Security, yenyewe kila kitengo kinakuwa na wakurugenzi wawili, yani mmoja ni wa kisiasia (Political Commissar) na mwingine ni wa kitaalamu (Technical Director).

Sasa kazi ya huyu Mkurugenzi wa kisiasa ni (Political Director) ni kuhakikisha kwamba taasisi ya ujasusi (The Guoanbu) inafuata matakwa ya chama cha kikomunisti cha Uchina wakati huyu mwingine ni kusimamia shughuli za kila siku za taasisi.

Hapa pana Checks and Balances kwasababu huyu mkuregenzi mmoja (Hasa yule wa siasa) kama akitoa amri ikakataliwa na mwingine (Yule wa kitaalamu) basi lazima atoe sababu za msingi kabisa kwanini amri yake ni muhimu na mwisho kabisa chama ndicho chenye usemi wa mwisho.

Mara ya kwanza Zhou Enlai anaanzisha shirika hili la Ujasusi la Uchina kipindi hicho likiitwa The Chinese Communist Party Central Investigation Department (Zhongyang Diaochabu) mwaka 1927 kule Shanghai. Watu walioajiriwa walikuwa ni vijana kutoka chama cha kikomunisti cha Uchina ambacho ndiyo kilikuwa kinaanza harakati zake.

Utaratibu huu ulikuwepo hata Ujerumani kipindi cha Mfalme Kaiza William ambapo Jeshi la Ujerumani lilikuwa na majemedari wawili kwenye nafasi moja ambapo moja ndiyo mwenye amri (Commanding Officer) na mwingine ni mtaalamu wa mikakati (Technical Expert) ambaye alitoka kwenye The Germany Generals Staff chombo ambacho kilikuwa kina watu wenye akili kupita kiasi.

Hapa napo pana Checks and Balances kama Jemedari moja (Commanding Officer) akikataa ushauri wa kitaalamu basi yule Technical Expert anaruhusiwa kuvunja itifaki na kwenda moja kwa moja kwa mfalme ili kutoa sababu kwanini ushauri wake ni muhimu kufuatwa na mfalme ndiyo anaamua.

Sasa mfumo huu tulioiga kutoka kwa Wachina siyo mbaya kivile, lakini ungekuwa na maana kama bado tungekuwa kwenye mfumo wa chama kimoja na Uchumi wa Kijamaa. Lakini pia kadiri siku zinavyoenda watu wanaoingia kwenye Idara ya Usalama wa Taifa ni watu wenye akili ndogo mno wasioweza kuchambua mambo mazito kwa kina, wasioweza kutunza siri, wachumia matumbo na walafi wa vyeo . This is a national crisis, believe me.
 
Back
Top Bottom