Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

My response to questions and general lifestyle is of no consequence to you...And why do you need to care about my identity that much? And to what end? You must have gone out of your mind.
An answer from a typical intellectual dwarf.
 
Tumshukuru Mungu kwa zawadi ya amani aliyotupa na pia tukumbuke kuheshimu michango ya wanausalama wetu wanaokesha kuhakikisha tunafurahia vyema zawadi hiyo ya amani aliyotupa Mungu.
Hahaha cheki hili nalo, 😂😂😂😂😂😂
You fools are on the wrong side of history.
 
Moderators wanafanya kazi kubwa kuhakikisha JF inabaki kuwa jukwaa madhubuti lenye habari na taarifa za kuelewaka. Na kama ni utani pia ni utani wa kueleweka, kama ni elimu kutolewa basi ni elimu inayoeleweka....nakadhalika na kadhalika. Wapewe heshima yao moderators wa JF.

Mleta uzi ulituletea problem badala ya privilege sisi watumiaji wa mtandao huu wa JF Kwa jinsi ulivyowasilisha dokezo la habari hii. Ha ha haaa!
Mkuu eti wewe nawe ni TISS kama wadau wanavyosema hapo juu ? 😂😂😂😂😂😂
 
Hahaha cheki hili nalo, 😂😂😂😂😂😂
You fools are on the wrong side of history.
Haha, hao Mossad wenyewe Motto yao ni Mstari wa Biblia, wamejenga Taifa lao katika misingi ya Kumtegemea Mungu. Bila Mungu anayekesha anafanya hiyo kazi bure. Wanamtanguliza Mungu na kumtegemea ndio maana wamefanikiwa.
 
Haha, hao Mossad wenyewe Motto yao ni Mstari wa Biblia, wamejenga Taifa lao katika misingi ya Kumtegemea Mungu. Bila Mungu anayekesha anafanya hiyo kazi bure. Wanamtanguliza Mungu na kumtegemea ndio maana wamefanikiwa.
Ila ninyi wenzangu mnatanguliza Mwenge!
😂😂😂😂😂😂 I'm dead.
 
Mkuu baada ya Nyerere kutoka Uchina alianza mahaba nao ya ghafla sana, aliiga hadi mifumo yao ya ulinzi. Kule Uchina wana The Guoanbu (Foreign Intelligence) ambayo iko chini ya The Ministry of State Security, yenyewe kila kitengo kinakuwa na wakurugenzi wawili, yani mmoja ni wa kisiasia (Political Commissar) na mwingine ni wa kitaalamu (Technical Director).

Sasa kazi ya huyu Mkurugenzi wa kisiasa ni (Political Director) ni kuhakikisha kwamba taasisi ya ujasusi (The Guoanbu) inafuata matakwa ya chama cha kikomunisti cha Uchina wakati huyu mwingine ni kusimamia shughuli za kila siku za taasisi.

Hapa pana Checks and Balances kwasababu huyu mkuregenzi mmoja (Hasa yule wa siasa) kama akitoa amri ikakataliwa na mwingine (Yule wa kitaalamu) basi lazima atoe sababu za msingi kabisa kwanini amri yake ni muhimu na mwisho kabisa chama ndicho chenye usemi wa mwisho.

Mara ya kwanza Zhou Enlai anaanzisha shirika hili la Ujasusi la Uchina kipindi hicho likiitwa The Chinese Communist Party Central Investigation Department (Zhongyang Diaochabu) mwaka 1927 kule Shanghai. Watu walioajiriwa walikuwa ni vijana kutoka chama cha kikomunisti cha Uchina ambacho ndiyo kilikuwa kinaanza harakati zake.

Utaratibu huu ulikuwepo hata Ujerumani kipindi cha Mfalme Kaiza William ambapo Jeshi la Ujerumani lilikuwa na majemedari wawili kwenye nafasi moja ambapo moja ndiyo mwenye amri (Commanding Officer) na mwingine ni mtaalamu wa mikakati (Technical Expert) ambaye alitoka kwenye The Germany Generals Staff chombo ambacho kilikuwa kina watu wenye akili kupita kiasi.

Hapa napo pana Checks and Balances kama Jemedari moja (Commanding Officer) akikataa ushauri wa kitaalamu basi yule Technical Expert anaruhusiwa kuvunja itifaki na kwenda moja kwa moja kwa mfalme ili kutoa sababu kwanini ushauri wake ni muhimu kufuatwa na mfalme ndiyo anaamua.

Sasa mfumo huu tulioiga kutoka kwa Wachina siyo mbaya kivile, lakini ungekuwa na maana kama bado tungekuwa kwenye mfumo wa chama kimoja na Uchumi wa Kijama. Lakini pia kadiri siku zinavyoenda watu wanaoingia kwenye Idara ya Usalama wa Taifa ni watu wenye akili ndogo mno wasioweza kuchambua mambo mazito kwa kina, wasioweza kutunza siri, wachumia matumbo na walafi wa vyeo . This is a national crisis, believe me.
Hata hao Mossad wapo chini ya ofisi ya waziri mkuu wa Israel.
 
Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.

P
Kuna mtu kavifananisha vyama pinzani na Corona hivyo huenda huu ufatiliaji uliouandika ukatekelezwa kivitendo.
 
Tumshukuru Mungu kwa zawadi ya amani aliyotupa na pia tukumbuke kuheshimu michango ya wanausalama wetu wanaokesha kuhakikisha tunafurahia vyema zawadi hiyo ya amani aliyotupa Mungu.
Amani tuliyonayo si kwasababu ya hao wana usalama!Usalama na amani ni vitu viwili tofauti ila vinafanana tu!
 
Lazima wawepo maana Israel ni dola ya kijasusi.

Uhai wake unategemea sana harakati za kijasusi nje ya mipaka yake.
Maana yangu ilikuwa ni kwamba mfumo wao wa kiutendaji, haupo tofauti sana na hapa kwetu kwani wao ( Mossad) wapo chini ya Ofisi ya Waziri mkuu wa Israel.
 
Duh...!, Mkuu Misasa, unaniulizia mimi role ya Tiss?!, nitaijulia wapi?.
Huko kwenye sheria ndio kabisa!.
Jf ni user generated forum mtu anachangia kile unachokijua. Hicho nilichochangia kuhusu TISS ndicho ninachokijua, kama na wewe mwenzetu unajua role ya TISS kwenye Corona, changia.
P
Ulijuaje kama wanadukua simu za watu, ushindwe kujua mengine au kuna sehemu yoyote wame publish TISS kwamba wanadukua simu za watu?
 
Kuweka hadharani udukuaji wao,issue kama hizo ni vitu vidogo visivyo na athari kabisa!Haikupaswa wao kuutaarifu umma kuwa wanadukua mawasiliano ya watu,kwanza ni kinyume na sheria!Ndio maana mataifa mengine hufanya udukuzi na taarifa wanabaki kuzifanyia kazi kwa ajili ya ulinzi wa nchi!Taarifa wanazozipata kwa namna hiyo haziwezi kutumika katika mahakama yoyote kama ushahidi ndio maana watu wameshangaa CCM kutumia udukuzi kuwahukumu waliodukuliwa!Kiufupi ni ushamba wa Jiwe,yeye anaona fahari kusema hadharani kuwa anajua msg wanazotumiana wateule wake!shame!
Sheria haiwaruhusu kufanya hivyo kuweka vitu hadharani,labda sheria ikabadilishwe lakini sheria, taratibu na kanuni ya uanzishwaji wake inawabana.
 
Maana yangu ilikuwa ni kwamba mfumo wao wa kiutendaji, haupo tofauti sana na hapa kwetu kwani wao ( Mossad) wapo chini ya Ofisi ya Waziri mkuu wa Israel.
Yap! Siasa ndiyo inayoongoza nchi.
 
Back
Top Bottom