Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Badili hiyo heading ww. Au unataka uzi wako wadau wautembelee sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani TISS yetu hawawezi kufanya hivi mkuu ?Heading ibadilishwe tafadhali
Huku upinzani ndio adui yao namba moja!
Ha ha ha haaa! Hii kali.TISS wa humu utawajua tu
Mkuu Pascal Mayalla tunasubiri majibuAkikujibu ya Bungeni plz ni tag
Hakuna haja ya kubadili Mossad wamefaya kwa vitendo kuna kosa gani kuhimizi na TISS wafanye jambo zuri kama hili la wenzao??Badili hiyo heading ww... Au unataka uzi wako wadau wautembelee sana
Hivi ndio waliishauri benk kuu itoe tamko kuwa note za tz hazishiki virus?Duh...!. Tiss wetu watakuwa wako busy kudukua simu za watu na kufuatilia mitandaoni nani ka comment nini kuhusu Corona!.
P
Ni vizuri lakini je wewe unapenda kusoma habari yenye kichwa cha habari tofauti na yaliyomo?Hakuna haja ya kubadili Mossad wamefaya kwa vitendo kuna kosa gani kuhimizi na TISS wafanye jambo zuri kama hili la wenzao??
Satire is part of literature, so brace yourself.Ni vizuri lakini je wewe unapenda kusoma habari yenye kichwa cha habari tofauti na yaliyomo?
Tena Chadema. Wameshasema wapinzani ni kama koronaKimeandikwa na Mpinazani hawana habari nacho.
No one can tell nani anadukuliwa na nani hadukuliwi, when they have reasons kukudukuwa, unadukuliwa, mimi hata nikidukuliwa hawapati kitu kwasababu mimi ni Mzalendo wa kweli wa taifa hiliWewe washawahi kukudukua mkuu Pascal ?
Hebu leo tumegee bungeni uliambiwa nini ?
Kwani TISS yetu hawawezi kufanya hivi mkuu ?
Kwa mujibu wa motto isiyo rasmi ya Mkuu, Paskalli Mayalla, inasema "...kuleta habari yoyote iwe tetesi ama ya ukweli na kudhibitika hapa JF ni kufanikisha ile dhana ya privilege ama haki ya mwana JF kuwa the First to Know...". Sasa kama taarifa inayodokezwa inapokuja kuwa kinyume na dokezo...basi hiyo inaharibu maana nzima ya "...be the First to Know..." na kuwa be the first to be confused and agitated...". Na hii si privilege tena bali problem.Hujaelewa wewe akili ndogo. Uandishi wa namna hii unalenga kuiamsha tasisi yetu nyeti iamke ktk usingizi wake. Hakuna kosa hapo.
Nietzsche wrote "God is dead and i went to his funeral" It bothers me when people can't fathom simple principles of literature.Kwa mujibu wa motoo isiyo rasmi ya Mkuu, Mayalla, inasema "...kuleta habari yoyote iwe tetesi ama ya ukweli na kudhibitika hapa JF ni kufanikisha ile dhana ya privilege ama haki ya mwana JF kuwa the First to Know...". Sasa kama taarifa inayodokezwa inapokuja kuwa kinyume na dokezo...basi hiyo inaharibu maana nzima ya "...be the First to Know..." na kuwa be the first to be confused and agitated...". Na hii si privilege tena bali problem.
That's an absurd thing to say!!!Satire is part of literature, so brace yourself.
Sasa kama kweli wewe ni mzalendo mbona unaogopa kutuuma sikio hata kidogo kuhusu kikao chako na Mh Ndugai ?No one can tell nani anadukuliwa na nani hadukuliwi, when they have reasons kukudukuwa, unadukuliwa, mimi hata nikidukuliwa hawapati kitu kwasababu mimi ni Mzalendo wa kweli wa taifa hili
P
Hakuna cha literature hapo....!!! Kwani huu ni ukumbi wa Lugha!?(yaani jukwaa la lugha)?. Uzi umewekwa kwenye jukwaa la kupashana habari na si vinginevyo. Kukiri udhaifu ni hatua moja kuimarika na kuwa madhubuti. Leta hoja nyingine.Nietzsche wrote "God is dead and i went to his funeral" It bothers me when people can't fathom simple principles of literature.
What's absurd ?And who are you to decide what's absurd and what's not ?That's an absurd thing to say!!!