Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

Badili hiyo heading ww. Au unataka uzi wako wadau wautembelee sana
 
Kwani TISS yetu hawawezi kufanya hivi mkuu ?
Hujaelewa wewe akili ndogo. Uandishi wa namna hii unalenga kuiamsha tasisi yetu nyeti iamke ktk usingizi wake. Hakuna kosa hapo.
Kwa mujibu wa motto isiyo rasmi ya Mkuu, Paskalli Mayalla, inasema "...kuleta habari yoyote iwe tetesi ama ya ukweli na kudhibitika hapa JF ni kufanikisha ile dhana ya privilege ama haki ya mwana JF kuwa the First to Know...". Sasa kama taarifa inayodokezwa inapokuja kuwa kinyume na dokezo...basi hiyo inaharibu maana nzima ya "...be the First to Know..." na kuwa be the first to be confused and agitated...". Na hii si privilege tena bali problem.
 
Kwa mujibu wa motoo isiyo rasmi ya Mkuu, Mayalla, inasema "...kuleta habari yoyote iwe tetesi ama ya ukweli na kudhibitika hapa JF ni kufanikisha ile dhana ya privilege ama haki ya mwana JF kuwa the First to Know...". Sasa kama taarifa inayodokezwa inapokuja kuwa kinyume na dokezo...basi hiyo inaharibu maana nzima ya "...be the First to Know..." na kuwa be the first to be confused and agitated...". Na hii si privilege tena bali problem.
Nietzsche wrote "God is dead and i went to his funeral" It bothers me when people can't fathom simple principles of literature.
 
Yaani taifa teule halina kiwanda Cha testing kits mpaka wanatumia mossad kwenda kuingiza kimagendo....
 
Nietzsche wrote "God is dead and i went to his funeral" It bothers me when people can't fathom simple principles of literature.
Hakuna cha literature hapo....!!! Kwani huu ni ukumbi wa Lugha!?(yaani jukwaa la lugha)?. Uzi umewekwa kwenye jukwaa la kupashana habari na si vinginevyo. Kukiri udhaifu ni hatua moja kuimarika na kuwa madhubuti. Leta hoja nyingine.
 
Back
Top Bottom