Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
NIMEFURAHI SABABU HUYU DOGO KILA SIKU ANAINGIZWA CHAKANI. NLIWAHI MWAMBIA AWE MAKINI MJINI HAPA ATAOLEWA AKAWA MBISHI. LEO YAMEMKUTA...... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aise umefurahii😂
hahhaha mwamba anaokoteokeza faraja mitandaoni matokeo yake anajipakata 😁😁
mwamba ni kichwa sana ila sometimes anakuaga na akili chache mno yakija mambo ya chama ni imaniAMEUKALIA .... KAJIPAKA KINYESI.... SASA ANAONA AIBU WATU WAMEMKUTA..... DOGO KILAZA SANA. HIYO VIDEO WAMEPEANA LEO MCHANA KUWA ISAMBAZWE......
Huwa anatabia za kukurupukaAcha uongo.
hao ni wapalestina probably Hamas walikamatwa mpaka wa Israel
Video ni ya kitambo.
Tumeshakuzoea na uongo wako, Ni wewe uli edit picha ya Mtanzania alieuawa na Hamas ukaisambaza humu jf, ulimwekea kiwiliwili cha mtu mwengine alievaa kombati za kijeshi, ukaumbuka mapema tu kwa makosa tuliyogundua.
Mods Moderator Mhariri Diversity kwenye heading ongezeeni neno "uzushi" kisha kwenye post muweke fact check
View: https://x.com/Michael_Wgd/status/1793336135491457217
Hapo sasa mbona hakuna MOSSAD mkuu...ni usafirishaji haramu wa binadamu kama kawaida.Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Source ya taarifa mkuuTomato au Chili?
Achanganye wapi kaamua tu kudanganya uma.View attachment 3071728umechanganya mafaili mkuu, huyo ni afisa upelelezi wa Israel amewadaka hao waarifu, bila shaka ni Terrorist wa hezbollah wamedakwa
Naona wagalatia hawataki kukubali kabisa kama Mabashaa zao wamekamatwa kila mmoja anakuja utetezi wake😀
Mara nyingi huwa anaenda chaka sana.Yaani mpaka nashangaa hiki kizazi cha wapi hopeless kama hivi. Hawezi kuwa kichwa kwa lugha chafu ambayo huwa anatumia akikosa hoja.mwamba ni kichwa sana ila sometimes anakuaga na akili chache mno yakija mambo ya chama ni imani
Rais wa Iran kauwawa na nani?
Kwani hakuna watu wana act film wako India wakavaa nguo za police wa USA 😄Wewe namna gani bwana hata picha huoni, huwezi kuona bendera ya Israel kwenye bega la huyo polisi..!!
Mbona unatuona sisi wajinga ? Tangu lini Askari wa Lebanon wakavaa Bendera ya Israel begani??Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Police wa bongo bora sana kuliko hao vilosa mnao wasifia 😄Wewe naona unafikiri hao ni polisi wa Kariakoo, ngoja siku moja waje wampoteze Ayatollah ndio utawafahamu vizuri.
Mkuu hebu acha utoto basi?? Yaani hata wewe huna macho??Kuna waisrael wa kiomon, kasera,vijibweni, kibada hawataamini kama waisrael wenzao wamedakwa.
Nimecheka Sana, Majasusi, hawatumii mbinu ya kitoto kama hiyo,Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
You're addicted to the religious opium owing to the weird comparison you're making.Police wa bongo bora sana kuliko hao vilosa mnao wasifia 😄
That's the effect of the religious opium.Kwani hakuna watu wana act film wako India wakavaa nguo za police wa USA 😄
Huyu jamaa kilaza sana.wamedanganyana kuwa hao ni majasusi.kumbe ni watu wao wenyewe wameshikwa na police wa Israel.Nimecheka Sana, Majasusi, hawatumii mbinu ya kitoto kama hiyo,
Hata polisi CCM richa ya, kuwa vilaza, hawawezi, kutumia mbinu ya, kichoko kama hiyo kwenda kuwawinda chadema, sembuse Mossad, tena kuingia Lebanon, mahasimu wao! Bro huna uelewa wa covert operations