Mzee wa Torano
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 519
- 700
Na wakimaliza huwa hawaji huko UDOM wanaenda Canada, Marekani, Australia, UK etc wachache wanaenda South Africa...Dah! Ila wakija vyuo tunakutana hukuhuku UDOM, UDSM nk. Alafu tuliosoma Kayumba tunawachachafya
Watakuwepo vipi Top ten wakati hawatumii mitaala ya Tanzania I mean NECTA. wenyewe ni IB and IGCSE curriculums...Mbona hawapo kwenye top ten kila mwaka za wanaongoza kitaifa mwaka huu hamna hata mmoja top ten form 4 wal form 6
Kama hufaham usemi kama kuna akil za mtu za kuzaliwa bas nadhan huna hadh ya kujadiliana namim kwan uwezo wako ni hafif sana..na ufafanuz ni kua wew huna akil za kuzaliwa,huo ndo mfanoAkili za kuzaliwa ndiyo zipi mkuu? Kwani kuna za kuridhi? Naomba ufafanuzi please
Huwezi kuziona coz hawatumii mitaala ya hapa wala mitihani yao sio ya kibongo bongo....mitaala yao mingi ni ya uingerezaAsee mbn Mbon sizioni kwenye Among Of most National leading results! Au hawa ni wapgaj tu
Hawafany sylabus hii yetu mkuu,mfano IST,labda mwanafunz achague..ma top wao hua wanapata scholarship za havard,Yale,.etc,.nawafaham vijana kadhaa wa hzo shule,ni hatar wako havard etc...na weng sylabus yetu hii hawapend fanya mitihan sabab wanaamin elim yao ni ya juu sana kisahihishwa mitihan na avarage teachers,na siunajua jins usahihishwaj wa mitihan wa necta? Necta Wana format yao,na wanafunz wa sylabus ya necta wanafundishwa kujib maswal kwa format hyo,kama we umesoma kayumba utanielewa,..wale IST wanafundishwa kama uko chuo,unajib kama uko chuo,etc,nadhan,umenielewaMbona hawapo kwenye top ten kila mwaka za wanaongoza kitaifa mwaka huu hamna hata mmoja top ten form 4 wal form 6
Hapo nimekupata mkuuHawafany sylabus hii yetu mkuu,mfano IST,labda mwanafunz achague..ma top wao hua wanapata scholarship za havard,Yale,.etc,.nawafaham vijana kadhaa wa hzo shule,ni hatar wako havard etc...na weng sylabus yetu hii hawapend fanya mitihan sabab wanaamin elim yao ni ya juu sana kisahihishwa mitihan na avarage teachers,na siunajua jins usahihishwaj wa mitihan wa necta? Necta Wana format yao,na wanafunz wa sylabus ya necta wanafundishwa kujib maswal kwa format hyo,kama we umesoma kayumba utanielewa,..wale IST wanafundishwa kama uko chuo,unajib kama uko chuo,etc,nadhan,umenielewa
wewe umejuaje kama ndio yenyewe ya UK... maana walimu wengi ni wahindi...Dah iyo braeburn kuna mtoto anasoma hapa jirani yetu.anapiga ngeli ile yenyewe ya UK.
Huwezi kuwaona ivyo vyuo vyako kamweDah! Ila wakija vyuo tunakutana hukuhuku UDOM, UDSM nk. Alafu tuliosoma Kayumba tunawachachafya
Shule za level gani... Ebu zitaje... Umataifa wa Arusha ni upi? ni shule? Idadi ya Wageni au kitu gani? au International Airport au Hifadhi? sema vizuri mkuu...Naona Shule nyingi za Kimataifa Zipo Arusha..
Arusha ni level ya Kimataifa..
Huyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?Tanzania: Top 10 Most Expensive Schools in Tanzania
10. Morogoro International School (MIS)
MIS annual basic fee of a student ranges from Sh4.4 million in Kindergarten to Sh17 million in High School. The School is the most expensive in Morogoro. The School adopts the Cambridge curriculum.
9. International School of Moshi (ISM)
ISM is the most expensive School in Moshi, a student's annual basic fees ranges from Sh14.5 million in primary to Sh17.2 million in High School. The school adopts the IB curriculum
8. Aga Khan Primary and Secondary School
Aga Khan is the eighth most expensive School in Tanzania it's situated in Dar es salaam. A student's annual basic fee ranges from Sh7.2 million in primary to Sh20.4 million in high school. Aga Khan adopts the IB curriculum.
7. Heaven of Peace Academy (HOPAC)
Hopac is a Christian International School situated in Dar es salaam, with an annual basic fee ranging from Sh15.5 million in primary level to Sh21.7 million in High School. HOPAC adopts the Cambridge curriculum.
6. Kennedy House Schools
KHS is a group of schools all over the world, they have a school in Arusha with Pre-Primary and Primary level. Their fees ranges from Sh7.8 million in Pre-Primary to Sh22.4 million in Primary. It adopts the Cambridge curriculum.
5. St. Constantine's International School
St. Constantine is an International boarding and day School. It's the second most expensive school in Arusha with an annual basic fee ranging from Sh7.5 million in nursery to Sh22.8 million in High School. It adopts the Cambridge curriculum.
4. Iringa International School (IIS)
IIS is the most expensive School in Iringa adopting both the IB and Cambridge curriculums. Their annual basic fee ranges from Sh16.7 million in pre-primary to Sh27.4 million
3. Dar es Salaam International Academy (DIA)
DIA is the third most expensive School in Tanzania. Situated in Dar es Salaam and adopting the IB curriculum, its annual School fees ranges from Sh24.3 million in primary year program to Sh40 million in High School.
2. Braeburn International School
Braeburn is an international day and boarding School, adopting the IB curriculum. It's situated in Arusha and Dar es Salaam. Its annual basic fees ranges from Sh20.3 million in primary to Sh42.6 million in High School.
1. International School of Tanganyika (IST)
IST is the most expensive School in Tanzania. It is situated in Dar es Salaam and adopts the IB curriculum. Its annual basic fees ranges from Sh33.3 million in pre-primary to Sh65.5 million in High School.
ARUSHA ni International City
Ngoja nizioridheshe..
1. Braeburn Internation School
2. Internation School of Moshi
3. St Constantine Internation School
4. Kennedy House (Usa River)
5. Denca International School( Manyire Arusha)
Nyingine ambazo zipo mbioni kuwa International Schools
1. Jaffery Academy
2. Arusha Meru
kunakuwa na maudhamini humo... na wanapenda kufanya biashara zaidi... au kuajiriwa kwa mishahara minono... kama hernandez wa Bill gatesHuyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?
Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.
Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Huwezi kuziona coz hawatumii mitaala ya hapa wala mitihani yao sio ya kibongo bongo....mitaala yao mingi ni ya uingereza
Dewji alitoka hapo IST, alivyomaliza chuo alikuta METL turnover ikiwa $50M... Alivyokabidhiwa kampuni within 10 yrs turnover ikapaa mpaka $500M.. Sasahivi wako Billion Dollar..Huyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?
Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.
Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.