Most expensive schools in Tanzania

Most expensive schools in Tanzania

Akili za kuzaliwa ndiyo zipi mkuu? Kwani kuna za kuridhi? Naomba ufafanuzi please
Kama hufaham usemi kama kuna akil za mtu za kuzaliwa bas nadhan huna hadh ya kujadiliana namim kwan uwezo wako ni hafif sana..na ufafanuz ni kua wew huna akil za kuzaliwa,huo ndo mfano
 
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51] kweli wengine tupotupo hapa duniani!!!! Sasa utakuta mtu anamsomesha mtoto wake analipa milion na nusu.... Basi atajisifiaa weee.... Ninahehalaaa.... Kulalekiii wakati wengine wanalipa mamilion duuu!!
 
Mbona hawapo kwenye top ten kila mwaka za wanaongoza kitaifa mwaka huu hamna hata mmoja top ten form 4 wal form 6
Hawafany sylabus hii yetu mkuu,mfano IST,labda mwanafunz achague..ma top wao hua wanapata scholarship za havard,Yale,.etc,.nawafaham vijana kadhaa wa hzo shule,ni hatar wako havard etc...na weng sylabus yetu hii hawapend fanya mitihan sabab wanaamin elim yao ni ya juu sana kisahihishwa mitihan na avarage teachers,na siunajua jins usahihishwaj wa mitihan wa necta? Necta Wana format yao,na wanafunz wa sylabus ya necta wanafundishwa kujib maswal kwa format hyo,kama we umesoma kayumba utanielewa,..wale IST wanafundishwa kama uko chuo,unajib kama uko chuo,etc,nadhan,umenielewa
 
Hawafany sylabus hii yetu mkuu,mfano IST,labda mwanafunz achague..ma top wao hua wanapata scholarship za havard,Yale,.etc,.nawafaham vijana kadhaa wa hzo shule,ni hatar wako havard etc...na weng sylabus yetu hii hawapend fanya mitihan sabab wanaamin elim yao ni ya juu sana kisahihishwa mitihan na avarage teachers,na siunajua jins usahihishwaj wa mitihan wa necta? Necta Wana format yao,na wanafunz wa sylabus ya necta wanafundishwa kujib maswal kwa format hyo,kama we umesoma kayumba utanielewa,..wale IST wanafundishwa kama uko chuo,unajib kama uko chuo,etc,nadhan,umenielewa
Hapo nimekupata mkuu
 
Dah iyo braeburn kuna mtoto anasoma hapa jirani yetu.anapiga ngeli ile yenyewe ya UK.
wewe umejuaje kama ndio yenyewe ya UK... maana walimu wengi ni wahindi...
 
Naona Shule nyingi za Kimataifa Zipo Arusha..


Arusha ni level ya Kimataifa..
Shule za level gani... Ebu zitaje... Umataifa wa Arusha ni upi? ni shule? Idadi ya Wageni au kitu gani? au International Airport au Hifadhi? sema vizuri mkuu...
 
Tanzania: Top 10 Most Expensive Schools in Tanzania

10. Morogoro International School (MIS)

MIS annual basic fee of a student ranges from Sh4.4 million in Kindergarten to Sh17 million in High School. The School is the most expensive in Morogoro. The School adopts the Cambridge curriculum.

9. International School of Moshi (ISM)

ISM is the most expensive School in Moshi, a student's annual basic fees ranges from Sh14.5 million in primary to Sh17.2 million in High School. The school adopts the IB curriculum

8. Aga Khan Primary and Secondary School

Aga Khan is the eighth most expensive School in Tanzania it's situated in Dar es salaam. A student's annual basic fee ranges from Sh7.2 million in primary to Sh20.4 million in high school. Aga Khan adopts the IB curriculum.

7. Heaven of Peace Academy (HOPAC)

Hopac is a Christian International School situated in Dar es salaam, with an annual basic fee ranging from Sh15.5 million in primary level to Sh21.7 million in High School. HOPAC adopts the Cambridge curriculum.

6. Kennedy House Schools
KHS is a group of schools all over the world, they have a school in Arusha with Pre-Primary and Primary level. Their fees ranges from Sh7.8 million in Pre-Primary to Sh22.4 million in Primary. It adopts the Cambridge curriculum.

5. St. Constantine's International School

St. Constantine is an International boarding and day School. It's the second most expensive school in Arusha with an annual basic fee ranging from Sh7.5 million in nursery to Sh22.8 million in High School. It adopts the Cambridge curriculum.

4. Iringa International School (IIS)

IIS is the most expensive School in Iringa adopting both the IB and Cambridge curriculums. Their annual basic fee ranges from Sh16.7 million in pre-primary to Sh27.4 million

3. Dar es Salaam International Academy (DIA)

DIA is the third most expensive School in Tanzania. Situated in Dar es Salaam and adopting the IB curriculum, its annual School fees ranges from Sh24.3 million in primary year program to Sh40 million in High School.

2. Braeburn International School

Braeburn is an international day and boarding School, adopting the IB curriculum. It's situated in Arusha and Dar es Salaam. Its annual basic fees ranges from Sh20.3 million in primary to Sh42.6 million in High School.

1. International School of Tanganyika (IST)

IST is the most expensive School in Tanzania. It is situated in Dar es Salaam and adopts the IB curriculum. Its annual basic fees ranges from Sh33.3 million in pre-primary to Sh65.5 million in High School.
Huyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?

Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.

Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
 
ARUSHA ni International City
Ngoja nizioridheshe..
1. Braeburn Internation School
2. Internation School of Moshi
3. St Constantine Internation School
4. Kennedy House (Usa River)
5. Denca International School( Manyire Arusha)



Nyingine ambazo zipo mbioni kuwa International Schools
1. Jaffery Academy
2. Arusha Meru

2. We are a school with two campuses; one based in Moshi at the base of Kilimanjaro and the other in Arusha at the base of Mount Meru. Many of our students will summit either one or both of these spectacular mountains by the time they come to leave our school. The mountains inspire awe and wonder as well as serving as a reminder of the heights great education can lead a child to reach

1. Jaffery ikijakuwa International school, hawa waindi watakuwa wahuni, hawana mazingira ya kuwafanya kuwa hivyo wanavyo taka... Dogo wa My bro kakimbiza sana Jaffery na sasa yupo Seminary ana wakimbiza vile vile...

http://www.ismoshi.org/jobs/
 
Huyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?

Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.

Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
kunakuwa na maudhamini humo... na wanapenda kufanya biashara zaidi... au kuajiriwa kwa mishahara minono... kama hernandez wa Bill gates

International School Moshi | Scholarships

What is the ISM Scholarship Programme?
The International School Moshi (ISM) Scholarship Programme develops the future leaders of Tanzania by giving talented local students full scholarships to complete their schooling. Scholarships are offered on both campuses for students in the International Baccalaureate Diploma Programme (Forms 5 & 6). We ensure these students are successful through hosting them as boarding students, enabling them to participate fully in co-curricular activities, and providing them with pastoral care and university application support.

In addition to ISM’s own scholarships, ISM is also a partner in the Beacon Scholarship Programme for students aged 13 and above. Click here for more details
 
Huyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?

Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.

Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
Dewji alitoka hapo IST, alivyomaliza chuo alikuta METL turnover ikiwa $50M... Alivyokabidhiwa kampuni within 10 yrs turnover ikapaa mpaka $500M.. Sasahivi wako Billion Dollar..

Umeona faida hiyo?
 
Back
Top Bottom