Kweli kabisa, na mifano tunayo mitaani, hakuna ubishi na unayosema, wengi wakitoka hapo ni king'eng'e cha kina Chris Brown, lakini akili za maisha hakuna, hawajuwi kupika, kufanya usafi wa kila aina na hata basic 1st Aid (Sayansi Kimu)...
Tukiongea kwamba tumesikia wakipasuwa mno vyuoni au huko nje waendapo baadaye hakuna! Ndipo tunaposhangaa, kumbe king'eng'e peke yake siyo sababu ya mtoto kupasuwa darasani!
Shule ziko overated, bei overpriced na Target yake haifiki hata asilimia 1 ya watoto TZ...
Tusubiri tuone kama bado wanapata wateja hasa wakibongo na vyuma hivi vilivyokaza..
Expatriates na wafanyakazi wa kigeni ndipo wanapoppeleka watoto wao, itakuwa vyema iwe kwa mishahara wanayolipwa na UN au makampuni ambayo hayakwapuwi hela hapa...