Dominic Myumbilwa
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 190
- 93
[emoji23] What a Painfull ReminderNdugu Mzazi/ Mlezi
Uongozi wa shule unakukumbusha kuwa mtoto wako hataruhusiwa kupanda basi la shule wala kuingia darasani kama hujalipa ADA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] What a Painfull ReminderNdugu Mzazi/ Mlezi
Uongozi wa shule unakukumbusha kuwa mtoto wako hataruhusiwa kupanda basi la shule wala kuingia darasani kama hujalipa ADA
Swallow it[emoji23] What a Painfull Reminder
[emoji23]Mkuu unahesabu vifaranga kwa kuku anaetaga?
Wewe huna akili kabisa.Ma TO Huwa Wanatoka Uko Au Ada Kubwa Bure Tu
Mkuu ,msamehe usitumie maneno makali,,ndo tulivo tz tunajua kua na akili ni kua T.OWewe huna akili kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Afuu akitoka hapo analipwa mshahara laki 4 kwa mwezii... haa ha ha..!!
Umezijua sasa.....Hizo shule zingine sikuwahi kuzijua aisee. Qhkaaaa!!!
Nafkiri hapo ni gharama za taaluma na Si KitaalumaMmmm Feza haimo top 10!!!!
Kuna ukweli hapaKwangu seminary za kikatoliki ndo naona shule bora kielimu hata kimaisha kuliko shule hizo za maela MTU aliyetoka seminary ndo naona unakuwa ameiva hasa mfano angalia viongozi wazuri na watu wenye mafanikio nchini kimaisha wengi ni waseminary
Kwani watoto waliosoma kayumba hawapo huko sober househa ha ha kuna mtoto wa ndugu yangu ananiuma sana yupo sasa sober house kwani alianza kwenye hizi shule kuanzia kindergareten kidogo kidogo akajifunza kula unga na alipofika sekondari lugha ilikuwa nzuri ila tabia ni sifuri.wazee wake wametumia hela nyingi shuleni na sasa wanatumia hela kumlipia gharama ya sober house
Wanaosoma hizo shule ni ngumu kukutana nao kwenye maisha yako ya kawaida.. Exposure yao ni kubwa sana kuliko hiyo ya hao kayumba.Hiyo haijalishi, mbona kuna wale wanaosoma kwenye shule za kina kayumba lakini bado wanatisha
Soma vizuri.... !!! Hazitumii curriculum ya tz!!!! Soma vzrAsee mbn Mbon sizioni kwenye Among Of most National leading results! Au hawa ni wapgaj tu
Hzo shule hazfuat curriculum ya kwetuHiyo haijalishi, mbona kuna wale wanaosoma kwenye shule za kina kayumba lakini bado wanatisha
Haswaaa.Umezijua sasa.....