Third eye judge
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 141
- 124
Nadhani aliyeitafsiri Ni Mkalimani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani aliyeitafsiri Ni Mkalimani.
Ndio Uk wanafuata njia za kisayansiUK wanafuata hizo njia za kisayansi? Maambukizi yao yakoje by percentage?
Hata mimi na laptop yangu, naweza kuutengeneza huu utopolo usiokuwa na ushahidi wowote wa kisayansi,View attachment 1736878
View attachment 1736879
View attachment 1736880
Hatufuati kivipi? Unataka police wapite waanze kupiga watu? Usiamini kila kitu tafuta undani wake kwanza, haya hizo hapo instruction kutoka wizara ya afya
Kea hiyo tayari umeishaiamini hiyo habari?Kabisa aisee
so wakifanya haya iyo variant mpya haiwezi kufanya mutation1. Hawaoshi mikono
2. Hawavai barakoa
3. Hawafati masharti ya kukaa kwa umbali
Na haya ni very basic...
Bado hujataja elimu ya kujua magonjwa ya virusi, vifaa vya kuchakachua kimaabara,.............
kwa iyo mkuu tukifanya haya icho kirusi hakiwezi kufanya iyo mutationZote ... Yaani hakuna covid.
Social distancing.
Masking
Sanitizing
Lockdown (based on statistics kama inahitajika)
Badala yake ni NYUNGULIZATION ... Method done by NIMR, UDSM etc...
NYUNGULIZATION Haina scientific basis mbona wabishi??
Acheni ubishi please! It's freaking weird!
Mimi ninajua propaganda kuhusu taifa letu zinazidi sana siku hizi.
Wewe umesoma kilichoandikwa humor?View attachment 1736878
View attachment 1736879
View attachment 1736880
Hatufuati kivipi? Unataka police wapite waanze kupiga watu? Usiamini kila kitu tafuta undani wake kwanza, haya hizo hapo instruction kutoka wizara ya afya
Hakiwezikwa iyo mkuu tukifanya haya icho kirusi hakiwezi kufanya iyo mutation
Wewe umesoma kilichoandikwa humor?
Duh ... Majsnga.
Hata mimi na laptop yangu, naweza kuutengeneza huu utopolo usiokuwa na ushahidi wowote wa kisayansi,
Kweli Mitano tena watu walijazwa ujinga sana
We umeamini nini mkuu.Kea hiyo tayari umeishaiamini hiyo habari?
Em Jibu swali kwanzaSwali lako linawalinganisha wewe na babu yako mzaa baba yako mzazi kwamba wote mna miaka sawa, kwa sababu wote mna watoto.
Ukweli kwamba wewe una mtoto, na babu yako mzaa baba yako naye ana mtoto (ambaye ni baba yako mzazi) haukufanyi wewe uwe na umri sawa na babu yako mzaa baba yako mzazi.
Unapolinganisha vitu, linganisha vitu vinavyolingana.
Nikuulize sasa, huku mnakodai hatufuati njia za kisayansi, reproductive number yetu ni mbaya zaidi ya kwao?Ndio Uk wanafuata njia za kisayansi
Kwa UK maambukizi yananukuliwa kisayansi kwa kitu kinaaitwa R number(hii homework yako kujua R number nini)
na formula yake ni;
View attachment 1737995
kwa sasa kiwango cha R number ni 0.7 to 0.9 na maambukizi kwa siku ni kati ya asilimia -5% to -2%
Haya nipe hizo percentage za Tanzania unazo?
Au yule jiwe kazikwa nazo.....
Umesha dungwa sindanoKuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu
Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Swali lina makosa ya kimantiki, hata jibu litakosa mantiki na maana.Em Jibu swali kwanza
Ya kwanza na ya pili. Pfizer.Umesha dungwa sindano
nipe condition ya virus kufanya mutationHakiwezi
1. Host cellnipe condition ya virus kufanya mutation