Moto wa Tundu Lissu umewaibua mafichoni

Moto wa Tundu Lissu umewaibua mafichoni

Moto huu na ule wa Mpanda lazima waibuke.
1685208801036.png
 
View attachment 2637162
Picha | TABORA Mjini, jioni ya leo (27/05/2023)

View attachment 2637164

Picha | TABORA Mjini, jioni ya leo (27/05/2023)
View attachment 2637169
Video | Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Mhe. #freemanmbowetz alifika Tabora Mjini leo 27.05.2023 kwa ajili ya kuzindua Oparesheni #255KatibaMpya. Alipokelewa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Mhe. #TunduALissu ambaye aliongoza mikutano mingine minne katika mkoa huo asubuhi. Oparesheni #255KatibaMpya ni kampeni ya CHADEMA ya kutaka katiba mpya ya Tanzania.
Safi sana.
 
Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.

Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.

Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.

Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.


Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.

Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.

Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.

Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
INabidi tufanye hivi kwa sababu hali tete.

CCM imejaa chawa, viongozi ni wa kuwasaka kwa tochi
 
Mwigulu mtoto wa mjini anajua kula na kipofu,, mtaalam wa kubadili gia angani na alishaanza kua rais wa mawe na madaraja basi atakua jiwe mwingine

Ndivyo mitapeli mijizi ilivyo
 
Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.

Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.

Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.

Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.


Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.

Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.

Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.

Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
Lissu ni Shujaa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom