Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #41
Ati nini?Ndivyo mitapeli mijizi ilivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati nini?Ndivyo mitapeli mijizi ilivyo
😅😅😅INabidi tufanye hivi kwa sababu hali tete.
CCM imejaa chawa, viongozi ni wa kuwasaka kwa tochi
Ccm hawakawii kusema chadema wanatumia picha za 2015 Magufuli Dikteta uchwara alichanganyikiwa alipopewa taarifa kuwa ktk kampeni za Tundu Lissu watu wanafurika pamoja na kwamba hakuna matangazo ya mikutano yake kupitia radio au TV. Akaamua kupora uchaguzi yaani ccm inatia huruma sana.Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.
Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.
Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.
Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.
Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.
Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.
Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.
Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
Siasa ni utapeli na tapeli aliye vizuri ndo hukalia kitiNdivyo mitapeli mijizi ilivyo
Hali inatisha.Ccm hawakawii kusema chadema wanatumia picha za 2015 Magufuli Dikteta uchwara alichanganyikiwa alipopewa taarifa kuwa ktk kampeni za Tundu Lissu watu wanafurika pamoja na kwamba hakuna matangazo ya mikutano yake kupitia radio au TV. Akaamua kupora uchaguzi yaani ccm inatia huruma sana.
Tundu Lissu toka nimfahamu hajawahi niangusha.
AmenNimekubali 100%
Kweli wameibuka, moto umewawakiaKitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.
Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.
Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.
Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.
Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezekani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.
Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.
Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.
Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
View attachment 2637163