Moto wa Tundu Lissu umewaibua mafichoni

Moto wa Tundu Lissu umewaibua mafichoni

Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.

Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.

Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.

Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.


Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezemani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.

Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.

Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.

Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
Ccm hawakawii kusema chadema wanatumia picha za 2015 Magufuli Dikteta uchwara alichanganyikiwa alipopewa taarifa kuwa ktk kampeni za Tundu Lissu watu wanafurika pamoja na kwamba hakuna matangazo ya mikutano yake kupitia radio au TV. Akaamua kupora uchaguzi yaani ccm inatia huruma sana.
Tundu Lissu toka nimfahamu hajawahi niangusha.
 
Ccm hawakawii kusema chadema wanatumia picha za 2015 Magufuli Dikteta uchwara alichanganyikiwa alipopewa taarifa kuwa ktk kampeni za Tundu Lissu watu wanafurika pamoja na kwamba hakuna matangazo ya mikutano yake kupitia radio au TV. Akaamua kupora uchaguzi yaani ccm inatia huruma sana.
Tundu Lissu toka nimfahamu hajawahi niangusha.
Hali inatisha.

Hali ni mbay kwa ccm
 
Kitu kimoja ninachompendea Tundu Lissu ni kuwa Mtu wa msimamo Thabiti kama Nabii Danieli. Kwake black is black and
white can never be red.

Huyu bwana yuko very persistent, determined and self motivated.

Hatimaye na wao wameona wasipitwe isije kuwa Maua wakapewa wengine na wao kwakakosa hata moja.

Sikilizeni wenyewe Katibu Mkuu CCM akijaribu ku-neutralize mambo.


Katiba Mpya bila upinzani makini haiwezekani. Ilishindikana 2014 baada ya Ukawa kususia kwa sababu zilizokuwa muhimu.

Wale jamaa wakajibanza ndani ya bunge wao kwa wao wakidhani wangeweza kuja na katiba ya kwao. Wakagonga mwamba pumzi ikakata.

Wenye Pumzi wameliamsha tena.Tanzania yoote imesimama.

Asante Rais Samia tunajua na wewe unajua umuhimu wa Katiba Mpya maana kila mtu alikuwa Mhanga awamu iliyopita.
View attachment 2637163
Kweli wameibuka, moto umewawakia
 
Back
Top Bottom